Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Warohingya: Bora tuuliwe India kuliko kurejeshwa Myanmar

    Warohingya: Bora tuuliwe India kuliko kurejeshwa Myanmar

    Oct 15, 2018 10:16

    Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaoishi kambini nchini India wamesema afadhali wauawe wakiwa ndani ya nchi hiyo badala ya kurejeshwa nchini kwao Myanmar.

  • Sisitizo la Russia na India la kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo la Russia na India la kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 07, 2018 23:03

    India na Russia wakiwa wanachama wa kundi la BRICS ambao wanataka mabadiliko katika muundo wa kimataifa utakao kuwa mbali na udhibiti wa Magharibi hususan Marekani, zimetangaza tena uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Hofu ya UN juu ya kufukuzwa India wakimbizi wa Rohingya

    Hofu ya UN juu ya kufukuzwa India wakimbizi wa Rohingya

    Oct 06, 2018 00:18

    Umoja wa Mataifa umeonesha kutiwa wasiwasi mkubwa na hatua ya India ya kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya na kuwarejesha nchini Myanmar.

  • Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Oct 05, 2018 03:07

    Russia na India zimeimarisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijeshi na silaha za nyuklia katika kipindi cha baada ya Vita Baridi na wakati huo huo zikiwa wanachama wa kundi la Brics, zinafnya jitihada za kupanua zaidi ushirikiano wa pande mbili.

  • India yaamua kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    India yaamua kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya

    Sep 28, 2018 00:53

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa India amesema kuwa serikali ya New Delhi imeamua kuwaondoa wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo.

  • Basi labingiria bondeni na kuua watu 43 nchini India

    Basi labingiria bondeni na kuua watu 43 nchini India

    Sep 11, 2018 09:39

    Kwa akali watu 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya basi la abiria kubingiria kwenye bonde, katika wilaya ya Jagtial kusini mwa India.

  • India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    Aug 30, 2018 11:24

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran.

  • India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani

    Jul 09, 2018 09:08

    Waziri wa Mafuta wa India sambamba na kuelezea umuhimu wa kuendelea kununua mafuta ya Iran licha ya tishio la vikwazo vya Marekani, amesema kuwa ununuzi wa mafuta hayo unatokana na maslahi ya kitaifa ya India na sio ya Marekani.

  • Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar

    Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar

    May 31, 2018 20:23

    Zaidi ya watu milioni 7 wakiwemo wanawake milioni mbili na laki tisa walioolewa wametakiwa kuthibitisha uraia wao nchini India.

  • Kimbunga chaua watu 47 nchini India, joto laongezeka

    Kimbunga chaua watu 47 nchini India, joto laongezeka

    May 29, 2018 22:04

    Watu wasiopungua 47 wamepoteza maisha kutokana na kimbunga kikali kilichoshuhudiwa kaskazini mwa India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS