-
Warohingya: Bora tuuliwe India kuliko kurejeshwa Myanmar
Oct 15, 2018 10:16Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaoishi kambini nchini India wamesema afadhali wauawe wakiwa ndani ya nchi hiyo badala ya kurejeshwa nchini kwao Myanmar.
-
Sisitizo la Russia na India la kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Oct 07, 2018 23:03India na Russia wakiwa wanachama wa kundi la BRICS ambao wanataka mabadiliko katika muundo wa kimataifa utakao kuwa mbali na udhibiti wa Magharibi hususan Marekani, zimetangaza tena uungaji mkono wao kwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Hofu ya UN juu ya kufukuzwa India wakimbizi wa Rohingya
Oct 06, 2018 00:18Umoja wa Mataifa umeonesha kutiwa wasiwasi mkubwa na hatua ya India ya kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya na kuwarejesha nchini Myanmar.
-
Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani
Oct 05, 2018 03:07Russia na India zimeimarisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijeshi na silaha za nyuklia katika kipindi cha baada ya Vita Baridi na wakati huo huo zikiwa wanachama wa kundi la Brics, zinafnya jitihada za kupanua zaidi ushirikiano wa pande mbili.
-
India yaamua kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya
Sep 28, 2018 00:53Waziri wa Mambo ya Ndani wa India amesema kuwa serikali ya New Delhi imeamua kuwaondoa wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo.
-
Basi labingiria bondeni na kuua watu 43 nchini India
Sep 11, 2018 09:39Kwa akali watu 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya basi la abiria kubingiria kwenye bonde, katika wilaya ya Jagtial kusini mwa India.
-
India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache
Aug 30, 2018 11:24Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran.
-
India: Tunanunua mafuta ya Iran kwa maslahi yetu ya kitaifa sio ya Marekani
Jul 09, 2018 09:08Waziri wa Mafuta wa India sambamba na kuelezea umuhimu wa kuendelea kununua mafuta ya Iran licha ya tishio la vikwazo vya Marekani, amesema kuwa ununuzi wa mafuta hayo unatokana na maslahi ya kitaifa ya India na sio ya Marekani.
-
Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar
May 31, 2018 20:23Zaidi ya watu milioni 7 wakiwemo wanawake milioni mbili na laki tisa walioolewa wametakiwa kuthibitisha uraia wao nchini India.
-
Kimbunga chaua watu 47 nchini India, joto laongezeka
May 29, 2018 22:04Watu wasiopungua 47 wamepoteza maisha kutokana na kimbunga kikali kilichoshuhudiwa kaskazini mwa India.