Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    May 29, 2018 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Waislamu India wazidi kuwekewa vizuizi vya kutekeleza nguzo ya Sala

    Waislamu India wazidi kuwekewa vizuizi vya kutekeleza nguzo ya Sala

    May 08, 2018 12:26

    Katika mwendelezo wa mpango wa kuzidi kuwabana Waislamu nchini India na kuwawekea mipaka ya uhuru wa kuabudu, serikali ya jimbo la Haryana imetangaza kuwa ni marufuku Waislamu kusali katika maeneo mengine ghairi ya misikitini.

  • Mvua, radi na vimbunga vyaua watu 143 nchini India

    Mvua, radi na vimbunga vyaua watu 143 nchini India

    May 04, 2018 02:52

    Wimbi la vimbunga vilivyoikumba India wiki hii limesababisha vifo vya watu wasiopungua 143, huku maafisa wa serikali wakitahadharisha kuwa yumkini idadi hiyo ikaongezeka.

  • Waziri wa zamani India: Ni kweli chama cha Kongresi kimeua maelfu ya Waislamu

    Waziri wa zamani India: Ni kweli chama cha Kongresi kimeua maelfu ya Waislamu

    Apr 25, 2018 09:47

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje nchini India na mjumbe wa chama cha Kongresi amekiri kwamba chama hicho kimehusika na mauaji ya maelfu ya Waislamu na wafuasi wa dini nyingine ndani ya taifa hilo.

  • Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Apr 02, 2018 02:53

    Watu wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India kufuatia mapigano makali baina ya wanajeshi wa India na wanamgambo wanaopigania kujitenga eneo hilo linalozozaniwa la Himalaya.

  • India: Raia wetu 39 waliotekwa na Daesh nchini Iraq, waliuawa na magaidi hao

    India: Raia wetu 39 waliotekwa na Daesh nchini Iraq, waliuawa na magaidi hao

    Mar 21, 2018 23:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amethibitisha habari ya kuuawa raia 39 wa nchi hiyo waliotekwa na wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini Iraq miaka michache iliyopita.

  • Zarif: Iran ndiyo nchi yenye amani zaidi katika Mashariki ya Kati

    Zarif: Iran ndiyo nchi yenye amani zaidi katika Mashariki ya Kati

    Feb 17, 2018 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi yenye amani zaidi na yenye nguvu kubwa zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati licha ya mashinikizo yote ya kimataifa.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 10:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui

    Feb 16, 2018 10:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.

  • Waislamu India waandamana kuilaani serikali kwa kuwatelekeza mbele ya hujuma za Wahindu

    Waislamu India waandamana kuilaani serikali kwa kuwatelekeza mbele ya hujuma za Wahindu

    Feb 15, 2018 00:33

    Waislamu nchini India wamefanya maandamano makubwa kulaani siasa mbovu za serikali kwa kushindwa kuzuia mashambulizi ya Wahindu dhidi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS