Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Apr 03, 2017 09:52

    Afisa mmoja anayehusika na vita dhidi ya maharamia wa baharini nchini Somalia ametangaza habari ya kutekwa nyara mabaharia 11 wa India katika fukwe za Somalia.

  • India: Mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wetu nchini Marekani hayakubaliki

    India: Mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wetu nchini Marekani hayakubaliki

    Mar 10, 2017 09:50

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini India sambamba na kulaani mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wa nchi hiyo huko Marekani, amesema kuwa New Delhi itaendelea kuwalinda raia wake walioko nje ya nchi.

  • Mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu, changamoto kuu kwa Waislamu

    Mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu, changamoto kuu kwa Waislamu

    Feb 18, 2017 04:16

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa, changamoto kuu inayoukabili ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa ni mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Feb 16, 2017 00:37

    Ayatulla Mohsen Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema, mapenzi kwa Ahlul Bayt wa Mtume Muhammad SAW ni chimbuko la umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Watu zaidi ya 30 wapoteza maisha katika ajali ya treni India

    Watu zaidi ya 30 wapoteza maisha katika ajali ya treni India

    Jan 22, 2017 04:48

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya treni iliyotokea jana jioni kusini mashariki mwa India.

  • Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Nov 20, 2016 04:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema leo kaskazini mwa India.

  • Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa

    Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa

    Sep 20, 2016 09:31

    Katika hali ambayo eneo lenye Waislamu wengi la Kashmiri, upande unaodhibitiwa na India, linaendelea kushuhudia malalamiko ya wananchi Waislamu, viongozi wa serikali ya Pakistan wanafanya juhudi za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa kupitia kuishawishi jamii ya kimataifa iingilie kati.

  • Zaidi ya watu 300 wafariki dunia kwa mafuriko nchini India

    Zaidi ya watu 300 wafariki dunia kwa mafuriko nchini India

    Aug 24, 2016 03:07

    Zaidi ya watu 300 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India kufuatia janga la mafuriko yaliyotokea mashariki na katikati mwa nchi hiyo.

  • UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    Aug 17, 2016 23:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Jul 21, 2016 23:47

    Msomi wa Kisunni ambaye pia ni mwanachama wa Baraza la Wataalamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kulaani mauaji ya hivi karibuni ya ndugu zao wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS