Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    Aug 17, 2016 23:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir

    Jul 21, 2016 23:47

    Msomi wa Kisunni ambaye pia ni mwanachama wa Baraza la Wataalamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kulaani mauaji ya hivi karibuni ya ndugu zao wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Zaidi ya 44 wauawa katika mapigano Kashmir inayodhibitiwa na India

    Zaidi ya 44 wauawa katika mapigano Kashmir inayodhibitiwa na India

    Jul 19, 2016 23:23

    Zaidi ya watu 44 wameuawa kufikia Jumanne katika mapigano yalianza Julai 9 katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Wakongomani waandamana kulalamikia kuuliwa raia wa Kongo nchini India

    Wakongomani waandamana kulalamikia kuuliwa raia wa Kongo nchini India

    Jul 07, 2016 02:54

    Hali ya wasiwasi imetawala Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya watu kumiminika mitaani kulalamikia kuuawa raia mmoja wa nchi hiyo huko India.

  • Mwanamke aanguka kwenye moto na kuungua wakati wa ibada India

    Mwanamke aanguka kwenye moto na kuungua wakati wa ibada India

    Jun 01, 2016 09:02

    Mwanamke mmoja aliyekuwa katika ibada ya kupita juu ya moto nchini India aanguka katikati ya makaa ya moto na kuanza kuungua

  • Zaidi ya 100 waaga dunia katika wimbi la joto kali nchini India

    Zaidi ya 100 waaga dunia katika wimbi la joto kali nchini India

    Apr 21, 2016 10:52

    Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha kutokana na joto kali nchini India, ambalo limepelekea kufungwa mashule na kukwamisha shughuli mbalimbali za kila siku.

  • Mazungumzo ya Rais Rouhani na Waziri wa Mambo ya Nje wa India

    Mazungumzo ya Rais Rouhani na Waziri wa Mambo ya Nje wa India

    Apr 17, 2016 23:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na India ni kwa maslahi ya usalama na ustawi wa kiuchumi wa eneo.

  • Idadi ya waliokufa katika mkasa wa moto India yapindukia 100

    Idadi ya waliokufa katika mkasa wa moto India yapindukia 100

    Apr 10, 2016 03:21

    Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mkasa wa moto uliotokea alfajiri ya leo kusini mwa India imepindukia 100.

  • 84 waaga dunia katika mkasa wa moto kusini mwa India

    84 waaga dunia katika mkasa wa moto kusini mwa India

    Apr 09, 2016 23:44

    Kwa akali watu 84 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa katika mkasa wa moto uliotokea mapema leo katika mji bandari wa Kollam, kusini mwa India.

  • Waislamu India wapinga uchochezi wa Wahindu

    Waislamu India wapinga uchochezi wa Wahindu

    Mar 02, 2016 03:45

    Waislamu wa India wamefanya maandamano mjini New Delhi wakipinga vitendo vya kichochezi vinavyofanywa na Wahindu wenye misimamo mikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS