Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Waislamu Indonesia walaani uepo wa Israel Kombe la Dunia U20

    Waislamu Indonesia walaani uepo wa Israel Kombe la Dunia U20

    Mar 21, 2023 02:28

    Wananchi Waislamu wa Indonesia wamefanya maandamano ya kulalamikia hatua ya kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kushiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika mchezo wa kandanda kwa vijana wa kiume wenye umri usiozidi miaka 20.

  • Hatimaye Waislamu Warohingya wawasili pwani ya Indonesia baada ya kutaabika baharini kwa mwezi mzima

    Hatimaye Waislamu Warohingya wawasili pwani ya Indonesia baada ya kutaabika baharini kwa mwezi mzima

    Dec 26, 2022 02:17

    Makumi ya Waislamu wakimbizi wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar waliodhoofu kwa njaa na kiu wamepatikana ufukweni mwa pwani ya jimbo la Aceh kaskazini ya Indonesia baada ya wiki kadhaa za kutaabika na kutangatanga baharini.

  • Indonesia yakataa kumpokea mjumbe maalumu wa kutetea ubaradhuli wa Marekani

    Indonesia yakataa kumpokea mjumbe maalumu wa kutetea ubaradhuli wa Marekani

    Dec 03, 2022 10:44

    Marekani imelazimika kufuta safari ya mjumbe wake maalumu wa kutetea eti haki za mabaradhuli (LGBTQ) nchini Indonesia, baada ya nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia kusema kuwa haitampokea afisa huyo wa Washington.

  • Mtetemeko wa ardhi waua watu 162 nchini Indonesia

    Mtetemeko wa ardhi waua watu 162 nchini Indonesia

    Nov 22, 2022 02:37

    Watu zaidi ya 160 wanaripotiwa kupoteza maisha nchini Indonesia baada ya kutokea mtetemeko wa ardhi katika eneo la Cianjur, mkoa wa Java Magharibi.

  • 174 waaga dunia katika mkanyangano kwenye uwanja wa soka Indonesia

    174 waaga dunia katika mkanyangano kwenye uwanja wa soka Indonesia

    Oct 02, 2022 07:34

    Kwa akali watu 174 wamepoteza maisha baada ya mashabiki wa timu hasimu za mpira wa miguu kushambuliana katika uwanja wa soka nchini Indonesia.

  • Marais wa Iran na Indonesia wasisitiza kupanua uhusiano katika nyanja mbalimbali

    Marais wa Iran na Indonesia wasisitiza kupanua uhusiano katika nyanja mbalimbali

    May 05, 2022 02:44

    Marais wa Iran na Indonesia wamefanya mazungumzo ya simu wakijadili uwezo wa nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali na kusisitiza ulazima wa kufanyika juhudi za pamoja za kuboresha kiwango cha ushirikiano wa pande mbili.

  • Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    May 28, 2021 12:31

    Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Hakuna matumaini ya kuwapata hai watu 53 katika nyambizi iliyozama ya Indonesia

    Hakuna matumaini ya kuwapata hai watu 53 katika nyambizi iliyozama ya Indonesia

    Apr 25, 2021 06:37

    Maafisa wa Indonesia wamesema mabaki ya nyambizi ya nchi hiyo iliyotoweka siku chache zilizopita yamepatikana, na hivyo matumaini ya kuwakuta wakiwa hai mabaharia 53 kwenye chombo hicho yamefifia kikamilifu.

  • Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Apr 04, 2021 12:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.

  • Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Jan 10, 2021 08:18

    Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS