Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Intifadha ya Palestina

  • Kongamano la Kimataifa la Intifadha ya Palestina Tehran, Kikao  Kilichokuwa na Ujumbe kwa Dunia

    Kongamano la Kimataifa la Intifadha ya Palestina Tehran, Kikao Kilichokuwa na Ujumbe kwa Dunia

    Mar 01, 2017 08:48

    Kongamano la Sita la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha au mwamko wa watu wa Palestina lilimalizika Februari 22 hapa Tehran kwa sisitizo la udharura wa kuhakikisha kuwa kadhia ya Palestina inabakia kuwa yenye kipaumbele cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu na nchi za Kiarabu.

  • Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Feb 28, 2017 02:45

    Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.

  • Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Feb 26, 2017 14:50

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Mbunge wa Matuga, Kenya: Wanaadamu wote waunge mkono uhuru wa Palestina

    Mbunge wa Matuga, Kenya: Wanaadamu wote waunge mkono uhuru wa Palestina

    Feb 26, 2017 14:43

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aunga mkono Intifadha ya Palestina, alaani udhalimu wa Israel

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aunga mkono Intifadha ya Palestina, alaani udhalimu wa Israel

    Feb 26, 2017 12:35

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Hamas: Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa kuangamizwa Israel

    Hamas: Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa kuangamizwa Israel

    Feb 25, 2017 02:39

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, sharti la kuweko amani na uthabiti katika Mashariki ya Kati ni kuangamizwa utawala haramu wa Israel.

  • Tamko la mwisho la Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina

    Tamko la mwisho la Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina

    Feb 22, 2017 16:58

    Tamko la mwisho la Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina uliomalizika leo hapa mjini Tehran limesisitizia udharura wa kulindwa kadhia ya Palestina ambayo ni kipaumbele cha kwanza cha nchi ulimwengu wa Kiislamu na za Kiarabu na ndilo zingatio kuu la fikra za walio wengi duniani.

  • Rouhani: Israel ni utawala pandikizi mzaliwa wa Magharibi

    Rouhani: Israel ni utawala pandikizi mzaliwa wa Magharibi

    Feb 22, 2017 16:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina ndiyo kadhia muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba, utawala wa Kizayuni ni utawala pandikizi, mzaliwa wa Magharibi unaovunja haki za binadamu.

  • Kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Palestina; ni ishara ya kudhoofika siasa za utawala wa Kizayuni katika eneo

    Kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Palestina; ni ishara ya kudhoofika siasa za utawala wa Kizayuni katika eneo

    Feb 22, 2017 08:08

    Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya al Wifaq ya Bahrain amesema kuwa kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika mji wa Tehran ni fursa kwa ajili ya kuonyesha udhaifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika siasa zao za kichokozi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Palestina; kadhia ya umoja na kipaumbele cha awali cha Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 22, 2017 08:04

    Msemaji wa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa ujumbe mkuu wa kufanyika mkutano huo hapa Tehran ni kudhihirisha suala la Palestina kama kadhia ya awali inayouhusu Ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS