Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Aug 31, 2024 08:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kwamba mwanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu amekuwa akitoa mafunzo kwa wanajeshi wa Russia katika ardhi ya Ukraine.

  • "Wazayuni, kizingiti cha kupatikana uthabiti katika umma wa Kiislamu"

    Aug 31, 2024 07:51

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Amani na Usalama ya Kimataifa ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndicho kikwazo kikuu cha kupatikana uthabiti na maendeleo endelevu katika ulimwengu wa Kiislamu na eneo la Asia Magharibi.

  • Wanafunzi wa Iran waibuka wa kwanza katika Olympiad ya Kimataifa ya Astronomia, Astrofizikia

    Wanafunzi wa Iran waibuka wa kwanza katika Olympiad ya Kimataifa ya Astronomia, Astrofizikia

    Aug 28, 2024 23:21

    Wanafunzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamechukua nafasi ya kwanza katika Olympiadi ya 17 ya Kimataifa ya Astronomia na Astrofizikia.

  • Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Aug 28, 2024 23:21

    Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.

  • Iran yakosoa misimamo ya kindumakuwili ya Uingereza kuhusiana na vita vya Gaza

    Iran yakosoa misimamo ya kindumakuwili ya Uingereza kuhusiana na vita vya Gaza

    Aug 26, 2024 08:41

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London umekosoa misimamo ya kindumakuwili ya serikali ya Uingereza kuhusiana na matukio ya eneo la Asia Magharibi na kusema, huku London ikionyesha kidhahiri kuwa inaunga mkono usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, lakini imefumbia macho jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu madhulumu wa Palestina.

  • Kipaumbele cha sera za kigeni za Iran; nchi jirani, eneo na muqawama

    Kipaumbele cha sera za kigeni za Iran; nchi jirani, eneo na muqawama

    Aug 25, 2024 08:45

    Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema kuwa kipaumbele cha kwanza katika sera za kigeni ni nchi jirani na kipaumbele cha pili ni kupanua uhusiano na Afrika, Amerika ya Latini na Asia Mashariki.

  • Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 21, 2024 22:50

    Nasser Kan'ani Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa leo hii ukweli mchungu na wa kusikitisha unashuhudiwa mbele ya walimwengu wa matabaka yote kuanzia raia wanaoteseka na kudhulumiwa katika eneo la Magharibi mwa Asia, kaskazini mwa Afrika hadi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu barani Ulaya na Marekani kwamba serikali ya Marekani inaunga mkono waziwazi ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Aug 21, 2024 22:48

    Afisa msimamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR hapa nchini Iran ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu kwa kuwapokea kwa ukarimu na kuwa mwenyeji wa wakimbizi.

  • Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Aug 21, 2024 04:23

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema Jamhuri ya Kiislamu inapanga kwa makini muda na mbinu ya kulipiza kisasi cha mauaji ya kigaidi ya aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Wapalestina (HAMAS), Ismail Haniyah akiwa hapa Tehran.

  • Iran: Tuna haki ya kujibu mapigo ya mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    Iran: Tuna haki ya kujibu mapigo ya mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    Aug 17, 2024 23:29

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujibu kwa njia halali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumuua kigaidi Ismail Haniyah, aliyekuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas akiwa ziarani hapa mjini Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS