Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Mataifa ya Kiislamu yanapaswa kutumia suhula zote ili kusitisha jinai za Wazayuni Gaza

    Iran: Mataifa ya Kiislamu yanapaswa kutumia suhula zote ili kusitisha jinai za Wazayuni Gaza

    Jun 13, 2024 08:37

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haitawaruhusu wavamizi wa Kizayuni kudhoofisha uthabiti na usalama wa eneo hata kwa chembe moja.

  • Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Jun 12, 2024 22:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ameshtushwa na ripoti za kuogofya kuhusu idadi kubwa ya watu waliouawa kutokana na shambulio lililolenga kijiji cha Wad al-Nura katika jimbo la al-Jazeera nchini Sudan.

  • Bagheri Kani: Iran ina uwezo wa kuchora njia za mafanikio za ulimwengu ujao kupitia BRICS

    Bagheri Kani: Iran ina uwezo wa kuchora njia za mafanikio za ulimwengu ujao kupitia BRICS

    Jun 12, 2024 07:52

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Tehran kwa kuwa kwake mwanachama wa BRICS inaweza kushiriki katika kuchora njia na muongozo mkuu wa ulimwengu ujao kwa kushirikiana na madola mengine.

  • Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Jun 12, 2024 07:44

    Mmoja wa wagombea wa urais nchini Iran ametoa mwito kwa Waislamu kuwa na umoja na mshikamano katika kulitetea taifa madhulumu la Palestina, hasa wakazi wa Ukanda wa Gaza wanaokabiliwa na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel tokea Oktoba mwaka jana 2023.

  • Tehran yalaani taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa

    Tehran yalaani taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa

    Jun 11, 2024 03:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, amesema kuwa, yaliyomo katika taarifa ya chuki dhidi ya Iran iliyotolewa na marais wa Marekani na Ufaransa hayana msingi wowote bali yana malengo na misukumo ya kisiasa na ni mwendelezo wa siasa zilizoshindwa tangu zamani.

  • Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Jun 09, 2024 23:53

    Makao Makuu ya Uchaguzi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran yametangaza orodha ya mwisho ya viongozi waliodhinishwa kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kamanda: Nchi za kigeni zina hamu ya kununua droni za Iran

    Kamanda: Nchi za kigeni zina hamu ya kununua droni za Iran

    Jun 09, 2024 23:52

    Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni moja ya madola yenye nguvu kubwa za ndege zisizo na rubani (droni) duniani.

  • Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Jun 09, 2024 06:33

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni mojawapo ya nchi ambazo zimepaza "sauti kubwa zaidi" dhidi ya jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Bahrain imetuma salamu kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Iran

    Bahrain imetuma salamu kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Iran

    Jun 08, 2024 07:18

    Afisa mwandamizi wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Bahrain imetuma salamu kwa Tehran kupitia Russia za kutaka kurejesha uhusiano wa kawaida baada ya kusimamishwa kwa zaidi ya miaka minane.

  • Iran: Maafa ya Palestina hayataisha mpaka Marekani na Ulaya zitapoacha kuiunga mkono Israel

    Iran: Maafa ya Palestina hayataisha mpaka Marekani na Ulaya zitapoacha kuiunga mkono Israel

    Jun 08, 2024 00:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Kusimamishwa kikamilifu na kivitendo uungaji mkono wa Marekani na Ulaya kwa utawala wa kibaguzi wa Kizayuni katika mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Ghaza ndiko kunakoweza kukomesha maafa machungu na ukatili wa kinyama na unaofanywa bila kujali dhidi ya watu huko Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS