Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Raisi asisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq

    Rais Raisi asisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq

    Mar 08, 2023 23:43

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq katika nyuga tofauti.

  • Kan'ani: Ujerumani iombe radhi kwa jinai zake dhidi ya Iraq, Iran

    Kan'ani: Ujerumani iombe radhi kwa jinai zake dhidi ya Iraq, Iran

    Mar 08, 2023 06:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani matamshi yaliyotolewa na Annalena Baerbock, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika safari yake ya hivi karibuni nchini Iraq.

  • Hali mbaya ya haki za wanawake katika nchi za Magharibi na madai ya uongo ya nchi hizo dhidi ya Iran

    Hali mbaya ya haki za wanawake katika nchi za Magharibi na madai ya uongo ya nchi hizo dhidi ya Iran

    Mar 08, 2023 04:43

    Kwa mtazamamo wa harakaharaka, hali ya wanawake katika nchi za Magharibi zinazodai kutetea haki za wanawake inaonyesha kuwa wanawake na wasichana katika nchi hizo wanakabiliwa na hali mbaya sana ambapo haki zao za kibinadamu zinapuuzwa na kukiukwa wazi wazi.

  • Rais Raisi: Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika teknolojia mpya

    Rais Raisi: Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika teknolojia mpya

    Mar 07, 2023 07:52

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika elimu na teknolojia mpya ili kurahisisha ushiriki wa sekta binafsi katika uhusiano wa pande mbili.

  • Iran yasaini hati 20 za ushirikiano na nchi za Afrika Magharibi

    Iran yasaini hati 20 za ushirikiano na nchi za Afrika Magharibi

    Mar 07, 2023 04:16

    Maafisa wa ngazi za juu wa Iran wamesema kupanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni moja ya sera kuu za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Marais Raisi na Putin wazungumzia uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Russia

    Marais Raisi na Putin wazungumzia uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Russia

    Mar 06, 2023 23:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ebrahim Raisi na mwenzake wa Russia, Vladimir Putin wamesisitizia umuhimu wa kuchukua hatua za kuimarisha zaidi uhusiano wa kiuchumi kati ya nchi mbili hizi.

  • Grossi: Tumekubaliana na Iran kuendelea na mchakato wa uhakiki

    Grossi: Tumekubaliana na Iran kuendelea na mchakato wa uhakiki

    Mar 06, 2023 23:04

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekaribisha makubaliano yaliyofikiwa baina ya wakala huo na Iran juu ya suala la usimamizi na kuendelea mchakato wa kuthibitisha kwamba miradi ya nyuklia ya Iran inafanyika kwa malengo ya amani.

  • Russia yakosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Russia yakosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Mar 05, 2023 23:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao makuu mjini Vienna amekosoa mienendo mibaya ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran.

  • Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Mar 05, 2023 07:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran

    Mar 05, 2023 05:12

    Ivan Khel Pinto, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya Al Mayadeen kwamba, uhusiano mzuri wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu, ni wa jadi na ni mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS