-
"Wamagharibi wanalia machozi ya mamba kuwahadaa wanafunzi, wazazi wa Iran"
Mar 04, 2023 04:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewakosoa maafisa wa nchi za Magharibi ambao wanaiahadaa dunia kwa kuonesha kuwa wameguswa na kutiwa wasiwasi na matukio ya wanafunzi wa kike wa Jamhuri ya Kiislamu kudaiwa kushambuliwa kwa gesi ya sumu wakiwa shuleni na kusisitiza kuwa, kilio hicho cha Wamagharibi ni sawa na machozi ya mamba.
-
Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran
Mar 03, 2023 07:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, maadui wamefeli katika vita vyao mseto dhidi ya wananchi wa Iran na kusisitiza kuwa, uimara na kutotetereka taifa iran kumevuruga njama zote za maadui.
-
Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya
Mar 03, 2023 04:15Marekani imeyawekea vikwazo makampuni na meli kadhaa katika kuendeleza muelekeo wake wa kiundumakuwili na sera yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima
Mar 02, 2023 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya Marekani kuwa, mlango wa mazungumzo ya kuhuisha makubaliano ya nyukia ya JCPOA hautabaki wazi milele, na kwa msingi huo ameiasa Washington kutumia fursa hiyo vizuri na kuyanusuru mapatano hayo.
-
Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin
Mar 02, 2023 06:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa amri ya kufukuzwa wanadiplomasia wawili wa Ujerumani kutokana na kuingilia kwao masuala ya ndani ya nchi.
-
Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani
Mar 01, 2023 04:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa na kuilaumu Marekani kwa kukwamisha mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.
-
Iran yakaribisha hatua ya Waarabu ya kuhuisha uhusiano na Syria
Feb 28, 2023 23:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepongeza hatua ya nchi za Kiarabu ya kuhuisha na kuimarisha uhusiano na Damascus, akisisitiza kuwa mkondo huo mpya wa kurejea mataifa ya Kiarabu nchini Syria unaonyesha kuporomoka kwa njama za nchi za Magharibi.
-
Iran kuanza kuuza bidhaa za nyuklia nje ya nchi
Feb 26, 2023 08:11Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) ametangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inajiandaa kuanza kusafirisha nje ya nchi bidhaa zake za nyuklia, zikiwemo za tiba.
-
Mahusiano ya pande mbili ya Iran na Iraq; mhimili wa mazungumzo ya Amir-Abdollahian mjini Baghdad
Feb 24, 2023 09:49Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko safarini nchini Iraq amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa nchi hiyo akiwemo Rais na Waziri Mkuu na kujadili uhusiano wa pande mbili na wa kieneo.
-
Iran: Kusambaratika Israel hakuepukiki licha ya uungaji mkono wa US
Feb 23, 2023 23:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala haramu wa Israel upo katika ncha ya kusambaratika na kutokomea, licha ya uungaji mkono.