Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • "Wamagharibi wanalia machozi ya mamba kuwahadaa wanafunzi, wazazi wa Iran"

    Mar 04, 2023 04:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewakosoa maafisa wa nchi za Magharibi ambao wanaiahadaa dunia kwa kuonesha kuwa wameguswa na kutiwa wasiwasi na matukio ya wanafunzi wa kike wa Jamhuri ya Kiislamu kudaiwa kushambuliwa kwa gesi ya sumu wakiwa shuleni na kusisitiza kuwa, kilio hicho cha Wamagharibi ni sawa na machozi ya mamba.

  • Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran

    Ebrahim Raisi: Vita mseto vya adui vimefeli mbele ya taifa imara la Iran

    Mar 03, 2023 07:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, maadui wamefeli katika vita vyao mseto dhidi ya wananchi wa Iran na kusisitiza kuwa, uimara na kutotetereka taifa iran kumevuruga njama zote za maadui.

  • Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Mar 03, 2023 04:15

    Marekani imeyawekea vikwazo makampuni na meli kadhaa katika kuendeleza muelekeo wake wa kiundumakuwili na sera yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Mar 02, 2023 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya Marekani kuwa, mlango wa mazungumzo ya kuhuisha makubaliano ya nyukia ya JCPOA hautabaki wazi milele, na kwa msingi huo ameiasa Washington kutumia fursa hiyo vizuri na kuyanusuru mapatano hayo.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Ujerumani: Hatua mkabala ya Tehran kukabiliana na Berlin

    Mar 02, 2023 06:30

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa amri ya kufukuzwa wanadiplomasia wawili wa Ujerumani kutokana na kuingilia kwao masuala ya ndani ya nchi.

  • Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Mar 01, 2023 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa na kuilaumu Marekani kwa kukwamisha mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.

  • Iran yakaribisha hatua ya Waarabu ya kuhuisha uhusiano na Syria

    Iran yakaribisha hatua ya Waarabu ya kuhuisha uhusiano na Syria

    Feb 28, 2023 23:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepongeza hatua ya nchi za Kiarabu ya kuhuisha na kuimarisha uhusiano na Damascus, akisisitiza kuwa mkondo huo mpya wa kurejea mataifa ya Kiarabu nchini Syria unaonyesha kuporomoka kwa njama za nchi za Magharibi.

  • Iran kuanza kuuza bidhaa za nyuklia nje ya nchi

    Iran kuanza kuuza bidhaa za nyuklia nje ya nchi

    Feb 26, 2023 08:11

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) ametangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inajiandaa kuanza kusafirisha nje ya nchi bidhaa zake za nyuklia, zikiwemo za tiba.

  • Mahusiano ya pande mbili ya Iran na Iraq; mhimili wa mazungumzo ya Amir-Abdollahian mjini Baghdad

    Mahusiano ya pande mbili ya Iran na Iraq; mhimili wa mazungumzo ya Amir-Abdollahian mjini Baghdad

    Feb 24, 2023 09:49

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko safarini nchini Iraq amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa nchi hiyo akiwemo Rais na Waziri Mkuu na kujadili uhusiano wa pande mbili na wa kieneo.

  • Iran: Kusambaratika Israel hakuepukiki licha ya uungaji mkono wa US

    Iran: Kusambaratika Israel hakuepukiki licha ya uungaji mkono wa US

    Feb 23, 2023 23:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala haramu wa Israel upo katika ncha ya kusambaratika na kutokomea, licha ya uungaji mkono.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS