-
Malengo ya madai ya kukaririwa ya viongozi wa Saudi Arabia dhidi ya Iran
Feb 11, 2021 07:57Faisal bin Farhan al-Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia amedai kuwa, miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani na uwezo wa kiulinzi wa taifa hili ni tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi.
-
Luteka ya 'Mtume Mtukufu 16' yaanza kusini mwa Iran
Feb 10, 2021 20:05Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC kinatazamiwa kuanza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Mtume Mtukufu 16 katika maeneo ya kusini magharibi mwa Iran.
-
Qalibaf: Iran na Russia zinatafakari kuhusu ushirikiano wa miaka 20 na 50 ijayo
Feb 10, 2021 09:43Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema Iran na Russia zinatafakari kuhusu ushirikiano wa kipindi cha miaka 20 na 50 ijayo.
-
AEIO yasema Iran itazindua miradi 50 ya nyuklia karibuni
Feb 09, 2021 23:00Mkuu wa Taasisi ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu itazindua miradi 50 ya mafanikio ya sekta ya nyuklia ya taifa hili karibuni hivi.
-
Mihimili mikuu minne ya mazungumzo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen na viongozi wa Iran mjini Tehran
Feb 09, 2021 10:30Martin Griffiths, mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen akiwa katika safari yake hapa mjini Tehran amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kujadiliana nao kuhusiana na vita dhidi ya Yemen.
-
Rais Rouhani azindua mpango wa kitaifa wa chanjo ya corona Iran
Feb 09, 2021 07:42Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua mpango wa kitaifa wa chanjo ya corona ambapo amempongeza Waziri wa Afya Daktari Saeed Namaki kwa kumdunga mwanae wa kiume chanjo ya kwanza kabisa.
-
Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran
Feb 08, 2021 08:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.
-
Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif
Feb 08, 2021 04:33Mjumbe Malumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amefanya mazungumzo na mshauri maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambapo wamejadili matukio ya hivi karibuni ya Yemen.
-
Afrika Kusini yapiga marufuku chanjo ya corona kutoka Uingereza
Feb 08, 2021 04:21Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kusitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya corona au COVID-19 kutoka Uingereza ya AstraZeneca na Oxford baada ya utafiti kubaini kuwa chanjo hiyo haiwezi kukabiliana na aina mpya ya corona iliyopatikana nchini humo.
-
Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia
Feb 07, 2021 04:10Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.