-
Kamanda wa IRGC: Dei 9 ni siku ambayo Wairani walisimama kupinga fitina
Dec 30, 2020 00:54Mratibu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Tarehe Tisa Dei ni siku ya taifa la Iran kwani ni siku ambayo wananchi walijotokeza na kusimama kidete kupinga waliokuwa wameibua fitina.
-
Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha al-Mustafa
Dec 27, 2020 20:51Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa cha Iran.
-
Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani
Dec 25, 2020 23:09Matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran baada ya kuituhumu Tehran kwamba, ilihusika katika mashambulio ya hivi karibuni ya maroketi dhidi ya ubalozi wa Wsahington mjini Baghdad, yamekabiliwa na radiamali kali ya taifa hili.
-
Iran yarekodi idadi ya chini zaidi ya vifo vya corona tokea Septemba
Dec 25, 2020 10:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesajili idadi ya chini zaidi ya vifo vya wagonjwa wa Covid-19 katika kipindi cha saa 24 zilizopita tokea Septemba 13 mwaka huu.
-
Ujumbe wanaokusudia kuufikisha Wairaqi kwa maandalizi ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda Qassem Suleimani
Dec 24, 2020 22:59Wananchi na makundi mbalimbali ya Wairaqi wanajiandaa kwa hauli na maadhimisho ya mwaka wa kwanza tangu alipouliwa shahidi Luteni Jenerali Qassem Suleimani na Abu Mahdi Al-Muhandis.
-
Russia: Ushirikiano wetu na Iran katika masuala ya nishati ni muhimu
Dec 24, 2020 00:01Mkuu wa Kituo cha Usalama wa Nishati cha Russia amegusia safari ya Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow na kusema kwamba, kustawishwa ushirikiano wa pande hizi mbili katika sekta za mafuta, gesi na vinu mbalimbali ni jambo muhimu sana. Amesema, mustakbali wa ushirikiano huo ni mzuri na uko wazi.
-
Wairani 10,000 tayari kupigwa chanjo ya majaribio ya Covid-19 iliyozalishwa nchini
Dec 23, 2020 08:57Takriban wananchi elfu kumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametangaza utayarifu wao wa kushiriki katika majaribio ya chanjo ya corona iliyozalishwa hapa nchini.
-
Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam
Dec 23, 2020 08:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatima ya Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.
-
Iran na nchi kadhaa duniani zasimamisha safari za ndege za Uingereza
Dec 21, 2020 04:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine kadhaa duniani zimesimamisha kwa muda safari za ndege za kwenda na kutoka Uingereza baada ya kuripotiwa aina mpya ya msambao wa virusi vya corona mjini London na kusini mashariki mwa UK.
-
Iran yasisitiza nchi za Ulaya zitumie mfumo wa INSTEX
Dec 20, 2020 03:33Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa nchi za Ulaya zinapaswa kuthibitisha kuwa mfumo wa mabadilishano ya kifedha na Iran maarufu kama Instex unafanya kazi ili Iran iweze kunufaika kiuchumi na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.