Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Sidhani vita baina ya Iran na Marekani vinakaribia, lakini...

    Zarif: Sidhani vita baina ya Iran na Marekani vinakaribia, lakini...

    May 03, 2019 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema hadhani vita baina ya Iran na Marekani vinakaribia lakini ametahadharisha kuwa, kuna 'ajali zinazoweza kutokea' na kubadilika kuwa makabiliano ya kijeshi.

  • Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    May 02, 2019 23:27

    Iran imelaani jaribio la hivi karibuni la Marekani la kutaka kuipindua serikali halali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

  • OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    May 02, 2019 09:10

    Katibu Mkuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) amesema ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la kimataifa na kwamba shirika hilo linafanya juu chini kuhakikisha kuwa siasa haziingizwi katika biashara ya mafuta.

  • Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    May 02, 2019 07:30

    Waziri wa Mafuta wa Iran amesema, hata kama kukatwa kabisa na kufikishwa katika kiwango cha sufuri uuzaji nje wa mafuta ya Iran ni matarjio ya Marekani na nchi mbili jirani na Iran, lakini jambo hilo halitekelezeki kivitendo.

  • Kama si Iran leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande

    Kama si Iran leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande

    May 02, 2019 03:29

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asema uthabiti na usalama katika eneo umepatikana kwa gharama kubwa na kuongeza kuwa: "Kama si ushirikiano wa kujitolea wa Iran, leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande mikononi mwa waovu na maadui wa amani na usalama."

  • Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo

    Kamati ya Nyuklia ya Iran: Tutajiondoa NPT, JCPOA iwapo tutaendelea kuwekewa vikwazo

    May 01, 2019 03:07

    Mwenyekiti wa Kamati ya Nyuklia ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema iwapo taifa hili litaendelea kukabiliwa na vikwazo, basi Tehran itajitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Atomiki (NPT) sambamba na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi

    Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi

    Apr 30, 2019 22:41

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesaini kuwa sheria, muswada wa kuwatambua wanajeshi wote wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM) na vikosi vyote vinavyofungamana nao kuwa kundi la kigaidi.

  • Pompeo atoa vitisho dhidi ya wanunuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Pompeo atoa vitisho dhidi ya wanunuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Apr 30, 2019 02:47

    Kufuatia radiamali hasi ya kimataifa kuhusiana na vikwazo vipya vya mafuta vya Marekani dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena amewatishia wanunuzi wa mafuta ya nchi hii.

  • IMF: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinavuruga ukuaji wa uchumi katika eneo

    IMF: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinavuruga ukuaji wa uchumi katika eneo

    Apr 29, 2019 02:24

    Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umesema vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimedumaza ukuaji wa uchumi katika eneo la Asia Magharibi.

  • Marekani ni hatari kubwa kwa mustakbali wa dunia

    Marekani ni hatari kubwa kwa mustakbali wa dunia

    Apr 29, 2019 02:01

    Mwanafikra wa Kiislamu kutoka visiwa vya Komoro amesema kuwa Marekai imehatarisha usalama wa dunia kutokana na siasa zake mbovu za kuingilia mara kwa mara mambo ya ndani ya nchi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS