Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Kongamano lijalo la Marekani dhidi ya Iran huko Poland ni sarakasi

    Zarif: Kongamano lijalo la Marekani dhidi ya Iran huko Poland ni sarakasi

    Jan 12, 2019 04:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema mkutano wa Marekani na waitifaki wake dhidi ya Iran unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao katika mji mkuu wa Poland, Warsaw ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza na sarakasi za Wasington.

  • Kamanda: Jeshi la Iran liko tayari kutoa jibu kwa tishio lolote

    Kamanda: Jeshi la Iran liko tayari kutoa jibu kwa tishio lolote

    Jan 11, 2019 23:24

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili limejiandaa kutoa jibu mwafaka kwa tishio lolote ajinabi.

  • Marekani; sababu kuu ya ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati

    Marekani; sababu kuu ya ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati

    Jan 10, 2019 21:43

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadiri Wamarekani watakavyoondoka haraka nchini Syria ndivyo itakavyokuwa bora kwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Zarif: Iran haitasitisha mpango wake wa kurusha roketi anga za mbali, licha ya makelele ya Marekani

    Zarif: Iran haitasitisha mpango wake wa kurusha roketi anga za mbali, licha ya makelele ya Marekani

    Jan 09, 2019 23:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itaendelea na mpango wake wa kurusha roketi katika anga za mbali licha ya onyo, vikwazo na pingamizi la Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapata ushindi wa kihistoria usiowahi kushuhudiwa dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapata ushindi wa kihistoria usiowahi kushuhudiwa dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Jan 09, 2019 13:34

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Marekani inasema kwa furaha kwamba vikwazo vya sasa dhidi ya taifa la Iran havijawahi kushuhudiwa katika historia; lakini taifa la Iran litapata ushindi dhidi yake katika suala hilo ambao pia haujawahi kushuhudiwa katika historia.

  • Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi

    Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi

    Jan 09, 2019 13:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uamuzi usio na mantiki na wa kushangaza uliochukuliwa na Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo raia kadhaa wa Iran kwa kutegemea tuhuma zisizo na msingi wowote.

  • Iran: Anachofanya Trump ni kubainisha matamanio yake batili tu na yaliyo muhali kuthibiti

    Iran: Anachofanya Trump ni kubainisha matamanio yake batili tu na yaliyo muhali kuthibiti

    Jan 07, 2019 04:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, anachofanya Donald Trump ni kubainisha matamanio batili tu aliyonayo na yaliyo muhali kuthibiti.

  • Kongamano la Kimataifa la Ulinzi na amani Magharibi mwa Asia litafanyika Jumatatu Tehran

    Kongamano la Kimataifa la Ulinzi na amani Magharibi mwa Asia litafanyika Jumatatu Tehran

    Jan 06, 2019 10:41

    Kongamano la Kimataifa la Ulinzi na Amani Eneo la Asia Magharibi litafanyika kesho mjini Tehran likihudhuriwa na maafisa wa masuala ya kisiasa, kiulinzi na kiusalama na wataalamu wa nyanja hizo kutoka nchi mbalimbali za Asia na Ulaya.

  • Kikosi cha majini cha IRGC ya Iran kuzindua nyambizi mpya za kisasa

    Kikosi cha majini cha IRGC ya Iran kuzindua nyambizi mpya za kisasa

    Jan 06, 2019 04:41

    Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kikosi hicho kinatengeneza nyambizi za kisasa, na mafanikio hayo mapya ya Iran katika uga wa kujihami yatazinduliwa karibuni hivi.

  • IRGC: Nguvu za kijeshi na kisiasa za Marekani ziko katika ncha ya kuporomoka

    IRGC: Nguvu za kijeshi na kisiasa za Marekani ziko katika ncha ya kuporomoka

    Jan 05, 2019 04:35

    Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema taifa la Iran limetoa pigo sio tu kwa mfumo wa kisiasa wa Marekani, lakini pia kwa jeshi la nchi hiyo ya kibeberu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS