-
Uwezo wa makombora wa Iran; suala lililo nje ya irada na matakwa ya Marekani
Jan 04, 2019 23:10Kwa mara nyingine tena, harakati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika maendeleo ya kielimu na kisayansi, ikiwemo kutuma maroketi ya kubebea satalaiti katika anga za mbali na vilevile kustawisha uwezo na nguvu za makombora yake, imewalazimisha viongozi wa Marekani kufungua midomo tena na kuanza kupayuka.
-
Balozi wa Iran Nairobi ataka kuboreshwa ushirikiano na nchi za Afrika Mashariki
Jan 04, 2019 04:16Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Kenya ametoa wito wa kutayarishwa mazingira mazuri zaidi ya kupelekwa huduma za kiufundi na kihandisi za Iran katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
Zarif ajibu matamshi ya Pompeo, asema dawa ya moto ni moto
Jan 03, 2019 23:53Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekadhibisha madai yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuhusu majaribio ya makombora na miradi ya masuala ya anga ya Iran.
-
Zarif: Hakuna dola linaloweza kudai kuwa limehodhi nguvu zote za dunia
Jan 03, 2019 11:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna taifa lolote linaloweza kudai kuwa limehodhi nguvu zote za dunia katika enzi hizi, na kusisitiza kwamba zama za dola moja kufanya maamuzi kwa niaba ya mataifa kadhaa zimepitwa na wakati.
-
Nguvu za makombora za Iran, upeo wa juu wa maendeleo ya kiulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu
Jan 03, 2019 08:08Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, miradi ya kiulinzi hususan umakini na uwezo wa hali ya juu wa makombora, umeifanya Iran kuwa taifa lililopiga hatua nzuri sana za kiulinzi.
-
Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran
Jan 02, 2019 11:47Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema Marekani haiwezi na haipaswi kuitwisha EU sera zake na kwamba umoja huo wenye nchi wanachama 28 hautairuhusu Washington iufanyie maamuzi juu ya uhusiano wake wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif: Kilichosalia ni utawala wa Trump na utawala wa Israeli kujiondoa katika sayari ya dunia
Jan 02, 2019 03:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uamuzi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kujiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNSECO) na kusema kitu pekee kilichobakia sasa ni kujiondoa kwao katika sayari ya dunia.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya watalii nchini Misri
Dec 30, 2018 11:07Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni lililopelekea kuuawa watalii kadhaa huko nchini Misri.
-
Iran: Kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi kunasababisha wasiwasi na mivutano
Dec 29, 2018 12:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Tokea awali sisi tumekuwa tukiamini kwamba kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi, mbali na kuwa ni kinyume cha sheria lakini pia kunasababisha hali ya wasiwasi na mivutano."
-
Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq
Dec 28, 2018 21:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema safari ya siri na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq imekiuka misingi yote ya udiplomasia na ni kutoheshimu uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.