-
Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran
Nov 03, 2018 04:23Mawaziri wa Mambo ya Nje na Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa ya pamoja kuhusiana na maendeleo makubwa waliyofikia kuhusu mfumo maalumu wa kifedha wa umoja huo kwa ajili ya Iran.
-
IMF: Iran ikabiliane na vikwazo vya kiuchumi vya Marekani
Nov 02, 2018 23:26Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umeiagiza Iran kuimarisha zaidi uchumi wake ili kukabiliana na vikwazo vya Marekani.
-
Fitina ya Mossad; Njama ya kujaribu kuvuruga uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya
Nov 02, 2018 04:20Katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kabla ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vimetabiriwa kufeli kufuatia mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuendelea kununua mafuta ya Iran, kumeshuhudiwa njama maalumu za kujaribu kuvuruga uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya.
-
Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU
Nov 02, 2018 04:11Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, Tel Aviv imehusika katika wimbi la hivi karibuni la upotoshaji, hadaa na tuhuma za urongo zinazozushwa na baadhi ya nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Papa Francis: Iran ni nchi yenye utamaduni tajiri na ustaarabu mkubwa
Nov 01, 2018 12:52Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amesema, sifa kubwa maalumu ya taifa la Iran ni kuwa kwake na utamaduni tajiri wa kiutu ambao unaweza kutumiwa kwa ajili ya kumuokoa mwanadamu wa zama hizi.
-
NYT: Trump atafeli katika sera zake za vikwazo dhidi ya Iran
Nov 01, 2018 03:26Gazeti la New York Times la Marekani limeandika kuwa sera za Rais Trump wa Marekani za kuiwekea vikwazo Iran zitafeli.
-
Zarif: Mossad inatekeleza njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU
Nov 01, 2018 03:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Denmark dhidi ya Iran ni katika fremu ya oparesheni ya upotoshaji inayotekelezwa na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel linalojulikana kama Mossad.
-
Rais Rouhani: Marekani itafeli tu katika njama zake mpya dhidi ya Iran
Oct 31, 2018 12:22Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran, lakini nchi nyingi duniani za Asia na Ulaya zina hamu ya kuendeleza ushirikiano wao na Iran.
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini
Oct 30, 2018 01:15Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea mjini Najaf, Iraq, kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Arubaini ya Imam Husain AS na pia kufanya ziara katika Haram tukufu ya Imam Ali AS.
-
Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe wa umoja na mshikamano wa Waislamu
Oct 28, 2018 04:38Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe muhimu wa mahaba, umoja na mshikamano wa Waislamu kote duniani mbele ya madola ya kibeberu.