Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran

    Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran

    Nov 03, 2018 04:23

    Mawaziri wa Mambo ya Nje na Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa ya pamoja kuhusiana na maendeleo makubwa waliyofikia kuhusu mfumo maalumu wa kifedha wa umoja huo kwa ajili ya Iran.

  • IMF: Iran ikabiliane na vikwazo vya kiuchumi vya Marekani

    IMF: Iran ikabiliane na vikwazo vya kiuchumi vya Marekani

    Nov 02, 2018 23:26

    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) umeiagiza Iran kuimarisha zaidi uchumi wake ili kukabiliana na vikwazo vya Marekani.

  • Fitina ya Mossad; Njama ya kujaribu kuvuruga uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya

    Fitina ya Mossad; Njama ya kujaribu kuvuruga uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya

    Nov 02, 2018 04:20

    Katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kabla ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vimetabiriwa kufeli kufuatia mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuendelea kununua mafuta ya Iran, kumeshuhudiwa njama maalumu za kujaribu kuvuruga uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya.

  • Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Nov 02, 2018 04:11

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, Tel Aviv imehusika katika wimbi la hivi karibuni la upotoshaji, hadaa na tuhuma za urongo zinazozushwa na baadhi ya nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Papa Francis: Iran ni nchi yenye utamaduni tajiri na ustaarabu mkubwa

    Papa Francis: Iran ni nchi yenye utamaduni tajiri na ustaarabu mkubwa

    Nov 01, 2018 12:52

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amesema, sifa kubwa maalumu ya taifa la Iran ni kuwa kwake na utamaduni tajiri wa kiutu ambao unaweza kutumiwa kwa ajili ya kumuokoa mwanadamu wa zama hizi.

  • NYT: Trump atafeli katika sera zake za vikwazo dhidi ya Iran

    NYT: Trump atafeli katika sera zake za vikwazo dhidi ya Iran

    Nov 01, 2018 03:26

    Gazeti la New York Times la Marekani limeandika kuwa sera za Rais Trump wa Marekani za kuiwekea vikwazo Iran zitafeli.

  • Zarif: Mossad inatekeleza njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Zarif: Mossad inatekeleza njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU

    Nov 01, 2018 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Denmark dhidi ya Iran ni katika fremu ya oparesheni ya upotoshaji inayotekelezwa na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel linalojulikana kama Mossad.

  • Rais Rouhani: Marekani itafeli tu katika njama zake mpya dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani itafeli tu katika njama zake mpya dhidi ya Iran

    Oct 31, 2018 12:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran, lakini nchi nyingi duniani za Asia na Ulaya zina hamu ya kuendeleza ushirikiano wao na Iran.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran aelekea Najaf Iraq kushiriki maandamano ya Arubaini

    Oct 30, 2018 01:15

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea mjini Najaf, Iraq, kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Arubaini ya Imam Husain AS na pia kufanya ziara katika Haram tukufu ya Imam Ali AS.

  • Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe wa umoja na mshikamano wa Waislamu

    Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe wa umoja na mshikamano wa Waislamu

    Oct 28, 2018 04:38

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema Arubaini ya Imam Hussein AS inabeba ujumbe muhimu wa mahaba, umoja na mshikamano wa Waislamu kote duniani mbele ya madola ya kibeberu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS