-
Kujihami kutakatifuu, siri na ufunguo wa kushinda njama zote za adui
Sep 27, 2018 07:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kumbukumbu za wapiganaji wa Kiislamu katika kipindi cha vita vya kujihami kutakatifu na familia zao ni hazina kubwa isiyo na mbadala na rasilimali ya taifa la Iran.
-
Uturuki: Tutaendelea kushirikiana na Iran licha ya Marekani kuiwekea vikwazo
Sep 27, 2018 03:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa, Ankara haitojali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na itaendeleza ushirikiano wake na Tehran kama kawaida.
-
Rais Rouhani afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa UN; wajadili JCPOA, Syria na Yemen
Sep 27, 2018 01:00Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wamefanya mazungumzo mjini New York ambapo wamejadili masuala mbalimbali yakiwemo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, mgogoro wa Syria na vita vya Yemen.
-
Erdogan: Tutaendelea kununua gesi ya Iran licha ya vitisho vya Trump
Sep 26, 2018 10:49Rais Recep Tayyip Erdoğan amesema Uturuki itaendelea kununua gesi kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran licha ya vikwazo na vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz
Sep 25, 2018 04:44Kikundi kimoja cha watoto kimefanya matembezi ya amani katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, kumkumbuka na kumuenzi mtoto wa miaka minne aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigadi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran.
-
EU kuunda 'chombo maalumu' cha kufanikisha biashara na Iran
Sep 25, 2018 04:36Nchi zilizosalia kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA zimeazimia kuunda 'chombo maalumu' kitakachofanikisha mabadilishano ya kibiashara na Tehran kama sehemu moja ya kuyanusuru mapatano hayo yaliyotiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria.
-
Baraza la Usalama laitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na ugaidi
Sep 25, 2018 04:31Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito kwa jamii ya kimataifa kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika vita dhidi ya ugaidi, sambamba na kuhakikisha kuwa serikali ya Tehran inawakamata na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa shambulizi la kikatili la Ahvaz.
-
Rouhani: Iran inawafahamu wahusika wa shambulio la Ahvaz, itawafuatilia
Sep 23, 2018 04:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linawafahamu wahusika wa shambulio la jana la kigaidi mjini Ahvaz, na lina haki ya kuwafuatilia na kuwawajibisha.
-
Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi la Ahvaz Iran
Sep 23, 2018 04:20Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu kusini magharibi mwa Iran.
-
Hujuma ya kigaidi katika mji wa Ahvaz kusini mwa Iran
Sep 22, 2018 04:45Magaidi wametekeleza hujuma ya kigaidi wakati wa kufanyika gwaride ya majeshi ya Iran katika mji wa Ahvaz kusini mwa Iran.