Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakanusha madai ya kuomba kufanya mazungumzo na Trump

    Iran yakanusha madai ya kuomba kufanya mazungumzo na Trump

    Sep 21, 2018 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama kichekesho madai kwamba taifa hili limeomba kufanya mkutano na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Iran yatuma salamu za rambirambi kwa Tanzania kufuatia ajali ya kivuko, Mwanza

    Iran yatuma salamu za rambirambi kwa Tanzania kufuatia ajali ya kivuko, Mwanza

    Sep 21, 2018 09:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Tanzania kufuatia ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere katika ziwa Vctoria huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Marekani, Saudia, UAE na Israel zatengwa katika njama zao dhidi ya  Iran katika IAEA

    Marekani, Saudia, UAE na Israel zatengwa katika njama zao dhidi ya Iran katika IAEA

    Sep 20, 2018 01:45

    Marekani na waitifaki wake wanaoipiga vita Iran wametengwa vibaya katika mkutano mkuu wa Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Maafikiano ya Sochi na uungaji mkono wa Iran kwa utumizi wa diplomasia kutatua kadhia ya Idlib

    Maafikiano ya Sochi na uungaji mkono wa Iran kwa utumizi wa diplomasia kutatua kadhia ya Idlib

    Sep 19, 2018 09:48

    Makubaliano yaliyofikiwa mjini Sochi kati ya Russia na Uturuki kuhusu kadhia ya eneo la Idlib lililoko kaskazini magharibi mwa Syria baada ya kikao kilichofanyika mjini Tehran kati ya marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki yamekaribishwa na kuungwa mkono na Iran. Maafikiano hayo ni ishara ya mwendelezo wa njia athirifu za kidiplomasia.

  • Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Sep 18, 2018 10:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika daima umekuwa ukiheshimu mamlaka ya kitaifa ya kila nchi na kutilia mkazo suala la ustawi na ushirikiano.

  • Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA

    Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA

    Sep 18, 2018 07:06

    Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalitiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1, linaloundwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, China, Russia pamoja na Ujerumani na kuanza kutekelezwa Januari 2016.

  • Yukiya Amano asisitiza tena kwamba, Iran imetekeleza ahadi zake kuhusu JCPOA

    Yukiya Amano asisitiza tena kwamba, Iran imetekeleza ahadi zake kuhusu JCPOA

    Sep 17, 2018 11:12

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba, Iran imekuwa ikitekeleza ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Qassemi: Madola huru yasimame kukabiliana na saiasa za kibeberu za Marekani

    Qassemi: Madola huru yasimame kukabiliana na saiasa za kibeberu za Marekani

    Sep 17, 2018 10:55

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Afghanistan na India kuhusiana na kuimarisha ushirikiano wa kieneo kilikuwa na mafanikio.

  • Salehi katika kikao cha IAEA mjini Vienna;  sisitizo la majukumu na matarajio ya Iran kutoka kwa wakala huo

    Salehi katika kikao cha IAEA mjini Vienna; sisitizo la majukumu na matarajio ya Iran kutoka kwa wakala huo

    Sep 17, 2018 05:53

    Kikao cha 62 cha kila mwaka cha Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki IAEA kimeanza leo huko Vienna Austria.

  • Zarif ailaani Twitter kwa kutengeneza robot za kusajili watumiaji hewa ili kuipiga vita Iran

    Zarif ailaani Twitter kwa kutengeneza robot za kusajili watumiaji hewa ili kuipiga vita Iran

    Sep 16, 2018 21:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha mtandao wa kijamii wa Twitter kufunga hesabu za watumiaji wa kweli wa Kiirani katika mtandao huo na badala yake kutengeza roboti ambazo zinaendesha kampeni ya kuipindua Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS