• Jeshi la Iran liko tayari kujibu tishio lolote la usalama dhidi yake

    Jeshi la Iran liko tayari kujibu tishio lolote la usalama dhidi yake

    Sep 16, 2018 11:45

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, pamoja na kwamba Iran haikabiliwi na hatari au tishio la aina yoyote la usalama, lakini imejiandaa kutoa jibu kali kwa chokohoko zozote za maadui.

  • Israel yamzuia Ahed Tamimi binti wa Kipalestina mwanamapambano kuelekea Iran

    Israel yamzuia Ahed Tamimi binti wa Kipalestina mwanamapambano kuelekea Iran

    Sep 15, 2018 09:35

    Baba wa Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina amesema kuwa, licha ya utawala haramu wa Kizayuni kumzuia Ahed kufanya safari, binti yake huyo pamoja na familia yake anaendelea kufanya juhudi kwa ajili ya kusafiri kuelekea Jordan na kisha kutoka hapo kuelekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ili kuendelea na harakati zake kwa ajili ya taifa la Palestina.

  • Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Sep 15, 2018 03:29

    Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.

  • Mapambano dhidi ya ugaidi, Iran haitalegeza kamba

    Mapambano dhidi ya ugaidi, Iran haitalegeza kamba

    Sep 14, 2018 19:26

    Mashambulizi yaliyofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (Sepah) dhidi ya makao ya magaidi huko kaskazini mwa Iraq yameonesha tena kwamba, kinyume na baadhi ya nchi za Magharibi, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina misimamo ya wazi kuhusu suala la kupambana na ugaidi na kwamba haitalegeza kamba wala kulegalega katika kulinda usalama wa taifa, ardhi yake na vitisho vya kijeshi.

  • IRGC: Kipigo cha Iran dhidi ya magaidi Kurdistan kimetuma ujumbe kwa maadui

    IRGC: Kipigo cha Iran dhidi ya magaidi Kurdistan kimetuma ujumbe kwa maadui

    Sep 13, 2018 09:30

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema jibu kali lilitolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran la kuvurumisha makombora dhidi ya magaidi katika eneo linalojiendeshea mambo yake la Kurdistan nchini Iraq lilituma ujumbe wa wazi na wenye maana kwa maadui wanaodhani kuwa wanaweza kuihujumu Iran.

  • Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Sep 12, 2018 22:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.

  • IAEA: Iran imetekeleza makubaliano ya JCPOA

    IAEA: Iran imetekeleza makubaliano ya JCPOA

    Sep 10, 2018 10:12

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetoa taarifa leo ukitangaza tena kwamba, Iran imetekeleza majukumu na ahadi zake zote chini ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    Sep 10, 2018 02:57

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani kwa mara nyingine tena amekosoa misimamo ya serikali ya rais wa hivi sasa wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran na kuionya Ikulu ya nchi hiyo White House kuhusu matokeo mabaya ya siasa hizo.

  •  Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui

    Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui

    Sep 10, 2018 02:23

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika mahafali ya pamoja ya kuhitimu na kuapishwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuashiria sera za shari na kiistikbari za kuibua machafuko na ukosefu wa usalama na kusisitiza kuwa:

  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-2

    Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-2

    Sep 09, 2018 09:42

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya pili ya kipindi hiki cha Katika Maktaba ya Imam Khomeini (MA) ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.