-
Iran yatilia shaka 'hadhi' ya Tuzo ya Nobel baada ya Trump 'kuteuliwa'
Jul 22, 2025 03:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baqaei ametilia shaka itibari na uhalisi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, akisema tuzo hiyo yenye heshima kubwa zaidi ya amani duniani, imegeuzwa na kuwa chombo cha kisiasa badala ya kuwa nembo ya amani kwa wote.
-
Mamluki wengine wawili wa Mossad watiwa nguvuni kaskazini mashariki mwa Iran
Jul 22, 2025 01:01Askari usalama wa Iran wamewatia nguvuni magaidi wawili wa Shirika la Ujasusi la Israel (MOSSAD) katika mkoa wa kaskazini mashariki wa Khorasan ya Kaskazini, unaopatikana kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Iran: Hatutaachana na haki yetu ya kurutubisha urani
Jul 22, 2025 00:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haina nia ya kuachana na mpango wake wa nyuklia, ikiwemo kurutubisha madini ya urani, licha ya uvamizi wa kijeshi wa mwezi uliopita wa Marekani na mutifaki wake wa kieneo, Israel.
-
Araqchi: Ufaransa, Ujerumani na Uingereza hazina mamlaka ya kuhuisha "Snapback Mechanism"
Jul 21, 2025 10:14Iran imesema kuwa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza hazina hadhi ya kisheria, kisiasa wala ya kimaadili ya kuhuisha utekelezaji wa kile kinachojulikana kama Snapback Mechanism ya makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015. Snapback Mechanism ni utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran.
-
Baqaei: Iran inaunga mkono kuimarisha uhusiano wa kikanda
Jul 21, 2025 10:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema leo katika mkutano na waandishi wa habari wa kila wiki hapa Tehran kwamba: Tehran inaunga mkono kukuza uhusiano na nchi za kanda hii, lakini wakati huo huo, imekuwa ikisisitiza kuwa kuanzishwa vivuko na njia mbalimbali hakupasi kuathiri mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Iran.
-
Iran na Russia zafanya maneva ya pamoja ya utafutaji na uokoaji katika Bahari ya Kaspi
Jul 21, 2025 09:53Iran na Russia zimekutanisha pamoja vikosi vyao vya wanamaji kwa ajili ya maneva ya kijeshi ya CASAREX 2025, zoezi kubwa la pamoja la utafutaji na uokoaji katika Bahari ya Kaspi.
-
Kwa nini Iran inasisitiza umuhimu wa kutokuweko mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo?
Jul 21, 2025 09:19Ali Akbar Ahmadian Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inapinga vikali mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu azungumza na Putin kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran
Jul 21, 2025 02:44Rais Vladimir Putin wa Russia na Ali Larijani, mshauri mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei wamekutana na kufanya mazungumzo juu ya masuala ibuka, hasa mpango wa nyuklia wa Tehran na mivutano katika eneo la Asia Magharibi.
-
Araghchi azijia juu nchi zinazotetea uchokozi wa Israel, US dhidi ya Iran
Jul 21, 2025 01:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema kuwa, hujuma za Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ni ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa na haki za binadamu za kimataifa, akikosoa misimamo ya upendeleo ya baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuhalalisha vitendo hivyo vya uchokozi vilivyofanywa na utawala wa Israel na Marekani mwezi uliopita.
-
Msimamo wa Kamisheni ya Ulaya dhidi ya Iran; kurudiwa tena madai yasiyo na msingi wowote
Jul 20, 2025 13:32Kamisheni ya Ulaya imetoa taarifa ambayo, pasi na kuashiria kuwa mpango wa nyuklia wa Iran ni wa malengo ya amani, imetosheka na kudai tu kwamba: Tehran haipasi kuwa na silaha za nyuklia.