• Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    Feb 27, 2025 23:11

    Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence) na ili kuwashinda wapinzani katika teknolojia hii, nchi yake inahitaji kusambaza umeme kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika na vya bei nafuu kama vile nishati ya nyuklia.

  • Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu

    Rais wa Iran ataka kuimarishwa uhusiano wa mataifa ya Waislamu

    Feb 27, 2025 07:33

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuimarisha maelewano na uhusiano miongoni mwa nchi za Kiislamu zikiwemo Iran na Malaysia ni miongoni mwa mambo ya lazima katika hali ya sasa ya kimataifa.

  • Mkuu wa IRGC: Maadui wa Iran bado hawajapata vipigo 'vikali'

    Mkuu wa IRGC: Maadui wa Iran bado hawajapata vipigo 'vikali'

    Feb 26, 2025 10:07

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amepongeza uwezo wa kiulinzi na kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, maadui wa Iran bado hawajapata vipigo 'vikali' licha ya mashambulizi na operesheni kadhaa za kulipiza kisasi zilizofanywa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

  • Iran yataka kuwepo uadilifu, kuheshimiana na amani ya kimataifa

    Iran yataka kuwepo uadilifu, kuheshimiana na amani ya kimataifa

    Feb 26, 2025 03:11

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza dhamira ya Jamhuri ya Kiislamu ya kuunga mkono ulimwengu wa pande kadhaa, sheria za kimataifa na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa na kutoa wito wa kuwepo ulimwengu unaozingatia uadilifu, heshima na amani.

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha ushirikiano na Russia

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha ushirikiano na Russia

    Feb 25, 2025 23:17

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameahidi kunyanyua kiwango cha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia kwa kuharakisha utekelezaji wa makubaliano ya pande mbili, na kuimarisha maingiliano athirifu katika masuala ya kikanda.

  • Araqchi: Silaha za nyuklia za Israel ni tishio na hatari kwa dunia

    Araqchi: Silaha za nyuklia za Israel ni tishio na hatari kwa dunia

    Feb 24, 2025 23:01

    Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa jamii ya kimataifa inapasa kuushinikiza utawala wa Israel kujiunga na Mkataba Unaozuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ili shughuli zake za nyuklia ziwe chini ya usimamizi na ukaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).

  • Spika wa Bunge la Iran: Trump anataka kuwahamisha watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina

    Spika wa Bunge la Iran: Trump anataka kuwahamisha watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina

    Feb 24, 2025 03:44

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu watu wa Gaza na kupora  ardhi ya Palestina na kubainisha kwamba, mpango huo katu haukubaliki.

  • Iran: Tutajikita katika kuimarisha uhusiano na mataifa ya Afrika

    Iran: Tutajikita katika kuimarisha uhusiano na mataifa ya Afrika

    Feb 22, 2025 08:33

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imesisitiza kuwa, irada ya Jamhuri ya Kiislamu imeelekezwa katika kuimarisha uhusiano wake na mataifa ya Afrika.

  • Jeshi la Iran laanza Luteka ya Zulfiqar-1403 pwani ya kusini

    Jeshi la Iran laanza Luteka ya Zulfiqar-1403 pwani ya kusini

    Feb 22, 2025 08:22

    Vikosi tofauti vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza awamu kuu ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Zulfiqar-1403 leo Jumamosi (Februari 22) katika pwani ya Makran, kusini mashariki, Bahari ya Oman, na kaskazini mwa Bahari ya Hindi.

  • Kilele cha utayarifu wa Jeshi la Iran kwa ajili ya kukabiliana na tishio la adui

    Kilele cha utayarifu wa Jeshi la Iran kwa ajili ya kukabiliana na tishio la adui

    Feb 22, 2025 04:44

    Pembezoni mwa hatua ya mwisho ya mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Mtume Mtukufu wa 19 (SAW) ya Vikosi vya Jeshi la Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Bagheri, Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu viko katika kilele cha utayarifu.