Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Abdollahian asisitiza azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Abdollahian asisitiza azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Jan 23, 2023 03:50

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya azma ya Tehran ya kukuza na kustawisha zaidi ushirikiano wake na mataifa ya Kiafrika.

  • Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Jan 09, 2023 07:20

    Tehran karibuni hivi inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS).

  • Rais Ebrahim Raisi: Wamagharibi waliingia Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora utajiri wa Waafrika

    Rais Ebrahim Raisi: Wamagharibi waliingia Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora utajiri wa Waafrika

    Jan 09, 2023 00:46

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madola ya Magharibi yaliingia barani Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora maliasili na utajiri wa Waafrika.

  • Hauli ya Haj Qassem yafanyika Nigeria kwa maandamano na kuchomwa moto bendera ya Marekani

    Hauli ya Haj Qassem yafanyika Nigeria kwa maandamano na kuchomwa moto bendera ya Marekani

    Jan 04, 2023 00:54

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika hauli na kumbukumbu ya kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuchoma moto bendera ya Marekani.

  • Zakzaky: Ni wajibu kwa Waislamu wote huru kuendeleza njia ya shahidi Soleimani

    Zakzaky: Ni wajibu kwa Waislamu wote huru kuendeleza njia ya shahidi Soleimani

    Jan 03, 2023 07:39

    Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa, vijana wa kambi ya muqawama wanapaswa kusimama imara kukabiliana na madola ya kiistikbari kama ambavyo pia amewataka Waislamu kutumia njia zote zinazowezekana, kuhakikisha fikra za shahidi Qassem Soleimani zinabakia hai.

  • Iran yaitumia salamu za rambi rambi serikali ya Afrika Kusini kufuatia mlipuko wa lori la gesi

    Iran yaitumia salamu za rambi rambi serikali ya Afrika Kusini kufuatia mlipuko wa lori la gesi

    Dec 26, 2022 00:50

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pole na rambi rambi kwa serikali na wananchi wa Afrika Kusini kufuatia mlipuko wa lori la gesi ambao umesababisha vifo vya watu kadhaa.

  • Iran na Guinea kupanua ushirikiano wao katika kilimo

    Iran na Guinea kupanua ushirikiano wao katika kilimo

    Dec 24, 2022 02:44

    ​​​​​​​Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Guinea zimeazimia kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili katika sekta ya kilimio ikiwa ni katika mkakati wa Iran wa kuendelea kuboresha zaidi ushirikiano na nchi za Afrika.

  • Iran yapongeza misimamo ya Namibia ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Iran yapongeza misimamo ya Namibia ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Nov 25, 2022 06:37

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu amesifu misimamo ya Namibia ya kuliunga mkono taifa la Palestina na kusisitizia malengo ya pamoja ya Tehran na Windhoek.

  • Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Nov 17, 2022 04:14

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Mabaharia 16 Wairani waachiliwa huru Tanzania

    Mabaharia 16 Wairani waachiliwa huru Tanzania

    Nov 13, 2022 01:16

    Mabaharia 16 Wairani waliokuwa wanashikiliwa nchini Tanzania wameachiliwa huru hivi karibuni. Hayo yamedokezwa na Mkuu wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran katika Eneo la Biashara Huria la Chabahar katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini-mashariki mwa Iran ambaye amesema mabaharia hao walioachiliwa huru ni wenyeji wa mkoa wa Sistan na Baluchestan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS