Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti

    Mar 03, 2024 12:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Azma ya Iran ya kupanua uhusiano na bara la Afrika

    Azma ya Iran ya kupanua uhusiano na bara la Afrika

    Mar 03, 2024 12:01

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jana Jumamosi aliwasili Algeria akiongoza ujumbe wa kiuchumi na kisiasa kwa ajili ya kuimarisha ushirikiano na asasi na jumuiya za kikanda na kimataifa, na pia kupanua uhusiano na nchi za bara la Afrika.

  • Raisi: Iran ipo tayari kuipa Msumbiji uzoefu wa kiufundi na kiuhandisi

    Raisi: Iran ipo tayari kuipa Msumbiji uzoefu wa kiufundi na kiuhandisi

    Mar 03, 2024 07:40

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ina hamu ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano na mataifa ya Afrika ikiwemo Msumbiji na kuongeza kuwa, kuna haja ya kubuni ramani mpya ya njia na kuamilisha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Msumbiji ili kupiga jeki ushirikiano wa pande mbili.

  • Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Kufufuka uhusiano wa Iran na Sudan kwaitia wahka mkubwa Marekani

    Feb 25, 2024 06:24

    John Godfrey, balozi wa Marekani nchini Sudan, amesema katika taarifa ya uingiliaji wa wazi wa mambo yasiyomuhusu ndewe wala sikio kwamba eti ana wasiwasi wa kuimarika uhusiano kati ya Iran na Sudan kwa madai kuwa uhusiano huo utaifanya Iran iisaidie kijeshi Sudan.

  • Iran yaunga mkono kikamilifu taarifa ya mwisho ya mkutano wa Umoja wa Afrika

    Iran yaunga mkono kikamilifu taarifa ya mwisho ya mkutano wa Umoja wa Afrika

    Feb 19, 2024 07:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa, inaunga mkono kikamilifu taarifa ya mwisho wa mkutano wa kilele wa wakuu wa Umoja wa Afrika (AU iliyotaka kuhitimishwa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Feb 10, 2024 10:41

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso ameshiriki katika sherehe za madhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo bora cha utawala, muqawama, ushujaa na mapambano.

  • Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Feb 08, 2024 03:03

    Mwanasiasa na mwandishi mashuhuri wa Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (RA) ni kigezo cha wapigania uhuru kote duniani ili kuzifanya nchi zao kuwa huru.

  • Tehran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi kwa makampuni ya Iran

    Tehran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi kwa makampuni ya Iran

    Feb 06, 2024 12:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Uratibu wa Diplomasia ya Uchumi amesema Afrika ni bara lenye fursa nyingi kwa makampuni ya Iran.

  • Rais Raisi: Sera ya msingi ya Iran ni kuunga mkono nchi zinazojitenga na Israel

    Rais Raisi: Sera ya msingi ya Iran ni kuunga mkono nchi zinazojitenga na Israel

    Feb 06, 2024 03:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema sera ya msingi ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuunga mkono nchi zinazojitenga na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Raisi: Uamuzi wa Afrika Kusini wa kuishtaki Israel unasifiwa na wapigania uhuru

    Raisi: Uamuzi wa Afrika Kusini wa kuishtaki Israel unasifiwa na wapigania uhuru

    Jan 26, 2024 11:12

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza yanapongezwa na kusifiwa na watu wote wanaopigania uhuru na ukombozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS