May 25, 2024 08:07
Ikiwa ni katika kuzungumzia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi wa Iran na wenzake katika ajali ya helikopta iliyotokea huko kaskazini magharibi mwa nchi , Rais wa Russia amesema, hatarajii mabadiliko yoyote kutokea katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa sababu misingi ya serikali ya Iran ni thabiti na imara.