Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Russia

  • Mtaalamu wa Russia: Mkataba wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia; hatua muhimu ya 2025

    Mtaalamu wa Russia: Mkataba wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia; hatua muhimu ya 2025

    Jan 05, 2026 07:45

    Igor Matveev, profesa na mtaalamu wa masuala ya siasa wa nchini Russia ameutaja Mkataba Kamili wa Kimkakati uliosainiwa kati ya Iran na Russia mwanzoni mwa mwaka jana kuwa hatua muhimu katika uhusiano kati ya mataifa haya mawili.

  • Ushirikiano wa Tehran na Moscow; ushirika wa kimkakati katika njia ya mfumo mpya wa kimataifa

    Ushirikiano wa Tehran na Moscow; ushirika wa kimkakati katika njia ya mfumo mpya wa kimataifa

    Dec 19, 2025 11:33

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia kuendelea kwa ushirikiano wa kimkakati na ushirikiano kati ya Tehran na Moscow.

  • Iran, Russia zasisitiza kutekeleza mkataba wa ushirikiano wa kimkakati katika mazungumzo ya Pezeshkian na Putin

    Iran, Russia zasisitiza kutekeleza mkataba wa ushirikiano wa kimkakati katika mazungumzo ya Pezeshkian na Putin

    Dec 13, 2025 02:34

    Rais Masoud Pezeshkian jana Ijumaa alikutana na kuzungumza na Rais Vladimir Putin wa Russia pambizoni mwa Mkutano wa Kimataifa wa Amani na Uaminifu uliofanyika huko Ashgabat mji mkuu wa Turkmenistan na kusisitiza kuhusu azma thabiti ya Iran ya kutekeleza makubaliano kuhusu ushirikiano wa kina wa kimkakati kati yake na Russia.

  • Iran, Russia zajadili kuendeleza ushirikiano wa nyuklia

    Iran, Russia zajadili kuendeleza ushirikiano wa nyuklia

    Oct 09, 2025 07:15

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amekutana na kuzungumza mjini Tehran na afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Taifa la Nishati ya Atomiki la Russia( Russia Rosatom) na kujadili kustawisha ushirikiano katika uga wa nishati ya nyuklia yenye malengo ya amani kati ya nchi mbili hizo waitifaki.

  • Pezeshkian: Ushirikiano wa

    Pezeshkian: Ushirikiano wa "mafanikio" wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja

    Sep 18, 2025 11:04

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za upande mmoja duniani zimemalizika.

  • China na Russia zahimiza kuhitimishwa 'vikwazo haramu' dhidi ya Iran

    China na Russia zahimiza kuhitimishwa 'vikwazo haramu' dhidi ya Iran

    Mar 14, 2025 14:47

    Wanadiplomasia wa China na Russia wametoa wito wa kuondolewa "vikwazo visivyo halali" dhidi ya Iran, wakisisitiza kuwa Tehran inayo haki ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Israel yafanya maangamizi Lebanon, yateketeza msikiti na soko, idadi ya waliouawa na kujeruhiwa haijajulikana

    Israel yafanya maangamizi Lebanon, yateketeza msikiti na soko, idadi ya waliouawa na kujeruhiwa haijajulikana

    Oct 13, 2024 10:57

    Msururu wa mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel yameteketeza kikamilifu msikiti na kubomoa soko kusini mwa Lebanon, katika kile kilichoelezewa kama "uangamizaji wa kila kitu" huku utawala huo ghasibu ukishadidisha na kupanua mashambulizi yake ya mabomu na makombora katika kila pembe ya nchi hiyo.

  • Iran na Russia katika njia ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Russia katika njia ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Sep 19, 2024 06:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Baraza la Usalama la Shirikisho la Russia kwa madhumuni ya kuboresha mahusiano ya pande mbili.

  • Russia: HAMAS haitatoweka, inaungwa mkono na Ulimwengu wa Kiislamu

    Russia: HAMAS haitatoweka, inaungwa mkono na Ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 29, 2024 02:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema lengo la Israel la kuliondoa vuguvugu la Muqawama wa Palestina la HAMAS kazi "isiyoendana na uhalisia".

  • Russia: Tehran na Moscow zinaendelea kuyafanyia kazi makubaliano makubwa ya ushirikiano

    Russia: Tehran na Moscow zinaendelea kuyafanyia kazi makubaliano makubwa ya ushirikiano

    Jul 24, 2024 13:04

    Baada ya kuchapishwa taarifa kuhusu kusimamishwa kwa muda makubaliano ya ushirikiano kati ya Iran na Russia; Dmitry Peskov Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kazi ya kutekeleza makubaliano makubwa kati ya nchi yake na Iran inaendelea lakini ratiba imebadilika kwa sababu ya kufanyika uchaguzi nchini Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS