-
Maafisa usalama wa Iran na Russia wakutana Tehran katika kikao cha pamoja
Jun 20, 2024 03:10Maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wametilia mkazo wajibu wa kushirikiana zaidi katika kupambana na ugaidi na uhalifu wa kitaasisi na kiserikali pamoja na kupambana na mihadarati.
-
Putin: Misingi ya serikali ya Iran ni madhubuti na imara
May 25, 2024 08:07Ikiwa ni katika kuzungumzia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi wa Iran na wenzake katika ajali ya helikopta iliyotokea huko kaskazini magharibi mwa nchi , Rais wa Russia amesema, hatarajii mabadiliko yoyote kutokea katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa sababu misingi ya serikali ya Iran ni thabiti na imara.
-
Bagheri: Iran na Russia zimegeuza vikwazo vya Marekani kuwa fursa
May 18, 2024 07:39Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika Mkutano wa "Russia na Ulimwengu wa Kiislamu" kwamba: Vikwazo vya Marekani vimegeuzwa kuwa fursa kwa busara na viongozi wa Tehran na Moscow.
-
Kuundwa miundombinu ya pamoja kati ya Irani na Russia kwa ajili ya kuimarisha mashirika yenye msingi wa maarifa
Dec 18, 2023 07:20Mkuu wa Shirika la Maendeleo na Biashara la Iran ametilia mkazo juu ya kuundwa miundombinu ya pamoja kati ya Iran na Russia kwa ajili ya kuboresha mashirika ya msingi wa maarifa.
-
Abdollahian: Kusifanywe jambo ambalo litatoa pigo kwa uhusiano wa Iran na Russia
Jul 19, 2023 08:01Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kujitawala na mamlaka ya ardhi yote ya Iran ni jambo ambalo katu si kitu cha kufanyiwa mazungumzo.
-
Raisi: Ushirikiano wa nchi huru ndio jibu kwa mkakati wa Marekani wa kudhoofisha usalama
Nov 09, 2022 15:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ushirikiano wa nchi huru ndilo jibu muhimu zaidi kwa stratijia ya Marekani ya kuyumbisha usalama.
-
Mkutano wa marais wa Iran na Russia; nchi mbili zilizo katika mkondo wa pamoja wa kimkakati
Jan 21, 2022 02:29Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran siku ya Jumatano alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Moscow ambapo pande mbili zimejadili masuala ya kieneo na kimataifa.
-
Viongozi wa Russia wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Jan 20, 2022 10:04Mkuu wa Kamati ya Uhusiano wa Kimataifa ya Bunge la Russia, Duma, amesena katika mazungumzo yake na Hussein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa uhusiano wa nchi mbili hizi ni mzuri na kuongeza kuwa kuimarishwa uhusiano huo hadi kiwango cha ushirikiano wa kistratijia ni suala muhimu sana kwa Russia.
-
Rais Ebrahim Raisi: Ushirikiano wa Iran na Russia unaimarisha amani
Jan 19, 2022 08:16Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Ushirikiano kati ya Iran na Russia unajenga amani na usalama na utazuia sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja katika kanda hii.
-
Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin
Jan 19, 2022 03:28Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.