Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Spika wa bunge la Iraq azuiwa kutoka nje ya nchi

    Spika wa bunge la Iraq azuiwa kutoka nje ya nchi

    Aug 02, 2016 11:13

    Waziri Mkuu wa Iraq amemzuia Spika wa bunge la nchi hiyo kutoka nje ya nchi.

  • Shambulizi jingine la bomu Iraq, makumi wauawa

    Shambulizi jingine la bomu Iraq, makumi wauawa

    Jul 25, 2016 03:26

    Kwa akali watu 18 wameuawa na wengine 23 kujeruhiwa katika hujuma nyingine ya kigaidi mashariki mwa Iraq, siku moja baada ya shambulizi jingine la bomu kuua na kujeruhi makumi ya watu katika mji mkuu Baghdad.

  • 30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq

    Jul 24, 2016 03:19

    Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Muqtada Sadr atahadharisha juu ya kutumwa askari wa US, Iraq

    Muqtada Sadr atahadharisha juu ya kutumwa askari wa US, Iraq

    Jul 18, 2016 03:14

    Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq ameitahadharisha Marekani dhidi ya kutuma askari wake zaidi nchini humo kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

  • 'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa

    'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa

    Jul 14, 2016 02:03

    Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limethibitisha kuangamizwa kamanda wake wa ngazi za juu, Omar al-Shishani, ambaye inasemekana aliuawa mwezi Machi.

  • Rais wa Iraq apasisha hukumu ya kifo dhidi ya magaidi wa Daesh

    Rais wa Iraq apasisha hukumu ya kifo dhidi ya magaidi wa Daesh

    Jul 13, 2016 23:40

    Rais Fuad Masum wa Iraq amepasisha hukumu ya kifo dhidi ya idadi kadhaa ya magaidi nchini humo.

  • Rouhani: Iran itaendelea kupambana na ugaidi

    Rouhani: Iran itaendelea kupambana na ugaidi

    Jul 11, 2016 12:30

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran itaendelea kutetea heshima na hadhi ya Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad (saw) kupitia njia ya kupambana na ugaidi bega kwa bega na wananchi na serikali ya Iraq.

  • Iran yawataka Wairaqi waungane ili waweze kuangamiza magaidi wa ISIS

    Iran yawataka Wairaqi waungane ili waweze kuangamiza magaidi wa ISIS

    Jul 10, 2016 08:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja imara baina ya makundi mbali mbali ya Iraq ili taifa hilo lifanikiwe kuangamiza magaidi wakufurishaji nchini humo na kote katika eneo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq awafuta kazi maafisa usalama Baghdad baada ya kuuawa watu 300

    Waziri Mkuu wa Iraq awafuta kazi maafisa usalama Baghdad baada ya kuuawa watu 300

    Jul 08, 2016 22:56

    Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amewafuta kazi maafisa wa ngazi za juu wanaosimamia usalama katika mji mkuu Baghdad kufuatia hujuma ya kigaidi.

  • Hammond akiri, Uingereza ilihusika kuimarisha Daesh

    Hammond akiri, Uingereza ilihusika kuimarisha Daesh

    Jul 08, 2016 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa wakati wa vita vya Iraq na kwamba suala hilo limechangia katika kuliimarisha na kulipa nguvu zaidi kundi la kigaidi la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS