Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Magaidi washambulia kaburi la mjukuu wa Mtume, waua watu 35 na kujeruhi 60

    Magaidi washambulia kaburi la mjukuu wa Mtume, waua watu 35 na kujeruhi 60

    Jul 08, 2016 00:18

    Magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh wameshambulia ziara la mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) katika mji wa Balad ulioko umbali wa kilomita 80 kutoka Baghdad na kuua watu wasiopungua 35.

  • Waingereza wataka Blair apelekewe ICC kwa kuivamia Iraq

    Waingereza wataka Blair apelekewe ICC kwa kuivamia Iraq

    Jul 07, 2016 10:00

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, asasi za kiraia na familia za wanajeshi wa Uingereza waliouawa nchini Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani hatua ya Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo Tony Blair ya kuidhinisha uvamizi dhidi ya Iraq mwaka 2003 bila ya kuwepo sababu ya msingi.

  • Iraq yazitahadharisha nchi zinazowafadhili magaidi

    Iraq yazitahadharisha nchi zinazowafadhili magaidi

    Jul 04, 2016 22:59

    Waziri Mkuu wa Iraq ametoa radiamali yake kwa mashambulizi ya kigaidi yaliyoutikisa mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad hivi karibuni na kusisitiza kuwa Baghad itakabiliana vilivyo na vyanzo na wale wote wanaowaunga mkono na kuwasaidia magaidi, licha ya kuwepo matatizo na vizingizi katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • 80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq

    Jul 03, 2016 02:52

    Watu wasiopungua 80 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    UNICEF: Vita vimesababisha maafa kwa watoto wa Iraq

    Jun 30, 2016 10:19

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuwa watoto milioni tatu na laki sita wa Iraq wanakabiliwa na hatari kubwa ya kifo, kujeruhiwa, ukatili wa kingono, kutekwa nyara na kutumikishwa kama wapiganaji kwenye makundi yanayobeba silaha.

  • 46 waua na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya msikiti Iraq

    46 waua na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya msikiti Iraq

    Jun 28, 2016 01:58

    Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.

  • Mamilioni wakumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali (as) kote duniani

    Mamilioni wakumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali (as) kote duniani

    Jun 27, 2016 11:42

    Mamilioni ya Waislamu husuan wapenzi na wafuasi wa Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad (saw) kote duniani kuanzia jana usiku hadi leo wameshiriki katika majlisi, vikao na mijumuiko ya kukumbuka tukio chungu la kufa shahidi Amiri wa Waumini, Imam Ali bin Abi Twalib (as).

  • Brigedia Jenerali Jazayeri: Saudia haina haki ya kuingilia mambo ya Iraq

    Brigedia Jenerali Jazayeri: Saudia haina haki ya kuingilia mambo ya Iraq

    Jun 27, 2016 11:30

    Afisa mwandamizi wa jeshi la Iran amesema Saudi Arabia na watawala wake hawana haki ya kuingilia mambo ya ndani ya Iraq na kwamba wanapaswa kuheshimu matakwa ya Wairaqi.

  • Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Jun 25, 2016 02:08

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.

  • UN: Daesh inatumia mbinu ya ukatili wa ngono Iraq

    UN: Daesh inatumia mbinu ya ukatili wa ngono Iraq

    Jun 20, 2016 09:29

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kukabiliana na Ukatili wa Kijinsia amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh linatumia ukatili wa kingono kama mbinu ya kigaidi nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS