-
30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita
Jun 20, 2016 00:54Baraza la Wakimbizi la Norway limesema kwa akali watu 30,000 wamelazimika kuyahama makazi yao katika mji wa Fallujah nchini Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita kutokana na kushtadi mapigano katika mji huo wa kistratajia kati ya vikosi vya jeshi na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Iran yaipongeza Iraq kufuatia kukombolewa Fallujah
Jun 18, 2016 08:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameipongeza serikali na watu wa Iraq kufuatia kukombolewa mji wa kati wa Fallujah kutoka kwa magaidi wa kundi la wakufurishaji wa ISIS au Daesh.
-
Operesheni ya kuwatia mbaroni magaidi Fallujah, Iraq
Jun 18, 2016 06:26Mkanda huu wa video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, unaonesha namna kikosi maalumu cha Iraq kinavyowatia mbaroni kwa mkupuo magaidi kadhaa wa Daesh mjini Fallujah wakiwa wamejificha kwenye kibanda kimoja cha udongo...
-
Al-Abadi: Daesh haina nafasi katika ardhi ya Iraq
Jun 18, 2016 02:38Haider al-Abadi, Waziri Mkuu wa Iraq amepongeza hatua ya kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Fallujah toka mikononi mwa Daesh (ISIS) na kusema kuwa kundi hilo la kigaidi na kitakfiri halina nafasi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Sheikh Kubais: Netanyahu ndio anayewasimamia Daesh
Jun 12, 2016 22:14Mmoja wa Mamufti watajika wa Kisuni mwa Iraq amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh linadhibitiwa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh
Jun 12, 2016 03:04Serikali ya Iraq imelalamikia misaada ya kifedha inayokusanywa na baadhi ya makundi nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kulisaidia kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).
-
Raia 30 wauawa katika hujuma ya Daesh nchini Iraq
Jun 11, 2016 02:36Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa wimbi la hujuma za kitatili na za ulipizaji kisasi za Daesh (ISIS), wanachama wa kundi la hilo la kigaidi na kitakfiri wamewaua kwa kufyatulia risasi raia zaidi ya 30 magharibi mwa mji wa Fallujah, mkoa wa al-Anbar.
-
Kinara wa ISIS, Abu Bakr Baghdadi, ajeruhiwa vitani Iraq
Jun 10, 2016 09:41Duru nchini Iraq zinadokeza kuwa kinara wa kundi la kigiaid la ISIS (Daesh), Ibrahim al-Samarrai, maarufu kama Abu Bakr al-Bahgdadi, amejeruhiwa katika hujuma ya ndege za kivita.
-
Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani
Jun 09, 2016 23:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia nakala za Qur'ani tukufu kutekeleza mashambulizi yake ya mabomu katika mji wa Fallujah nchini Iraq.
-
Iraq yaunga mkono kuwepo washauri wa kijeshi wa Iran katika vita dhidi ya ugaidi
Jun 08, 2016 23:01Msemaji wa serikali ya Iraq amesisitiza kuwa washauri wa kijeshi wa Iran walioko Iraq walitumwa nchini humo kufuatia ombi la Iraq na kwa uratibu wa Baghad kwa ajili ya kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi nchini humo.