-
Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuendelea operesheni ya kuukomboa mji wa Fallujah
Jun 05, 2016 23:31Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesema, operesheni ya kijeshi katika mji wa Fallujah ulioko katika mkoa wa Al-Anbar magharibi mwa nchi hiyo itaendelea hadi kuhakikisha uvamizi wa kundi la kigaidi la Daesh katika mji huo unahatimishwa.
-
Matukio ya Kisiasa na Kimedani Iraq
Jun 02, 2016 02:25Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al Abadi ambaye pia ni amiri jeshi mkuu nchini humo jana alitangaza kukamilika duru za kwanza na ya pili za kuukomboa mji wa Fallujah ambao unakaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Vikosi vya Iraq vyaingia mji wa Fallujah na kuanza kuwatimua ISIS
May 30, 2016 02:49Wanajeshi wa Iraq Jumatatu wameingia katika mji wa Fallujah na kuanza kuwatimua magaidi wa ISIS au Daesh mjini humo katika hatua ambayo imetajwa kuwa ni ushindi mkubwa dhidi ya magaidi.
-
Opereseheni ya kukomboa mji wa Falluja inaendelea nchini Iraq
May 28, 2016 23:21Jeshi na vikosi vya wananchi vya Iraq wanaendelea na operesheni yao ya kuukomboa mji wa Falujja kutoka mikononi mwa genge la kigaidi la Daesh tangu siku sita zilizopita.
-
Iraq yaitaka Jordan imrejeshe nchini humo binti wa Saddam
May 20, 2016 23:25Serikali ya Iraq imeitaka Jordan imerejeshe nchini humo binti wa Saddam Hussein na wafuasi kadhaa wa karibu wa dikteta huyo wa Iraq wanaoishi nchini Jordan.
-
Ahadi ya serikali ya Iraq ya kuyashinda kikamilifu magaidi baada ya muda si mrefu
May 20, 2016 11:54Kufuatia kukombolewa mji wa kistratijia wa Rutbah katika mkoa wa Al- Anbar magharibi mwa Iraq, Waziri Mkuu wa nchi hiyo Haidar al-Abadi ametangaza kuwa karibuni hivi vikosi vya jeshi vitayashinda kikamilifu makundi ya kigaidi na kitakfiri.
-
Iran yalaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi ya Daesh Iraq
May 18, 2016 23:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, ambalo limesababisha vifo vya mamia ya watu tokeo Jumatano ya wiki iliyopita.
-
Papa Francis azikosoa nchi za Magharibi kwa kuzilazimishia nchi zingine demokrasia yao
May 17, 2016 10:02Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amezikosoa nchi za Magharibi kwa kulazimisha mfumo wao wa demokrasia kufanya kazi katika nchi zingine kama vile Libya na Iraq.
-
Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya bomu Baghdad, Iraq
May 17, 2016 09:23Kwa akali watu 58 wameuawa na wengine zaidi ya 90 wamejeruhiwa katika mashambulizi matatu ya bomu yaliyoutikisa mji mkuu wa Iraq, Baghdad hii leo.
-
Wito wa Iraq kwa Jamii ya Kimataifa kuisaidia katika vita dhidi ya ugaidi
May 16, 2016 03:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq Ibrahim al-Jaafari ameiomba Jamii ya Kimataifa iisaidie nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi.