-
Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq
May 13, 2016 03:19Kwa akali askari 17 wa jeshi la Iraq wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Mripuko wa bomu waua watu wasiopungua 64 mjini Baghdad, Iraq
May 11, 2016 11:04Watu wasiopungua 64 wameuawa na wengine zaidi ya 85 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo karibu na soko moja katika kitongoji cha Sadr mashariki mwa mji mkuu wa Iraq, Baghadad.
-
Kamanda mwandamizi wa Daesh auawa nchini Iraq
May 10, 2016 03:20Kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika hujuma ya anga nchini Iraq. Haya yanajiri huku wanajeshi wa Iraq na makundi ya wanamgambo waitifaki wakifanikiwa kukomboa vijiji kadhaa vya mkoa wa Anbar, magharibi mwa nchi hiyo ambavyo vimekuwa vikishikiliwa na magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh.
-
UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq
May 07, 2016 03:10Umoja wa Mataifa umesema makaburi ya umati zaidi ya 50 yamegunduliwa katika maeneo mbali mbali ya Iraq, baada ya vikosi vya serikali kuchukua udhibiti wa maeneo yaliyokuwa chini ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Jeshi la Iraq lakomboa vijiji kadhaa mkoani Anbar
May 05, 2016 04:01Wanajeshi wa Iraq na makundi ya wanamgambo waitifaki wamefanikiwa kukomboa vijiji kadhaa vya mkoa wa Anbar wa magharibi mwa nchi hiyo ambavyo vimekuwa vikishikiliwa na magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh au ISIS.
-
Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq
May 01, 2016 23:33Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.
-
Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria
May 01, 2016 23:22Afisa mwandamizi wa Iran amelaani vikali njama za nchi za Magharibi na waitifaki wao kieneo za kutaka kuzigawa vipande vipande Iraq na Syria.
-
Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq
May 01, 2016 09:59Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa kwenye magari katika mji wa Samawa, kusini mwa Iraq.
-
Watu 12 wauawa katika hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq
Apr 24, 2016 00:02Kwa akali watu 12 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi mawili ya bomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Watu 9 wauawa katika hujuma yamsikitini Iraq
Apr 22, 2016 12:56Watu wasiopungua tisa wameuawa na wengine zaidi ya 25 kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti mmoja katika eneo la Radwaniyah kusini magharibi mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.