-
Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu
Feb 04, 2025 04:17Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.
-
Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la US lapitisha muswada wa vikwazo dhidi ya ICC
Jan 10, 2025 08:42Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha mswada wa kuwawekea vikwazo maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kama jibu kwa hatua ya mahakama hiyo ya kutoa hati za kukamatwa viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuhusika na uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Spika Qalibaf atilia mkazo kupanuliwa ushirikiano wa kiuchumi, kiusalama na kiulinzi baina ya Iran na Iraq
Jan 09, 2025 03:46Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo aliyofanya na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, adui anataka kupanua harakati za makundi ya ukufurishaji katika eneo na hivyo amesisitizia kupanuliwa ushirikiano wa kiuchumi, kiusalama na kiulinzi baina ya nchi mbili.
-
Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi
Jan 08, 2025 23:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq. Ametoa mwito huo wakati alipoonana na Waziri Mkuu wa Iraq na ujumbe alioongozana nao waliokwenda kumtembelea ofisini kwake hapa Tehran jana Jumatano.
-
Mashinikizo kwa serikali ya Iraq ya kuvunja Hashd al-Shaabi
Jan 07, 2025 07:20Mashinikizo ya kigeni hususan kutoka Marekani yameongezeka kwa serikali ya Iraq ili kuivunja Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.
-
Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria
Jan 04, 2025 09:07Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.
-
Taarifa ya Hizbullah ya Iraq katika kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Kamanda Soleimani na al Muhandis
Jan 04, 2025 04:15Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kupambana na ubeberu wa dunia katika kumbukumbu ya kuuawa shahidi makamanda mashahidi wa muqawama Luteni jenerali Qassim Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Nandi-Ndaitwah atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi na kuwa rais wa kwanza mwanamke Namibia
Dec 04, 2024 03:09Namibia imepata rais wake wa kwanza mwanamke baada ya mgombea wa chama tawala cha SWAPO na Makamu wa Rais wa nchi hiyo Bi Netumbo Nandi-Ndaitwah mwenye umri wa miaka 72, kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika wiki iliyopita.
-
Seneta wa Marekani aunga mkono hati ya ICC inayoamuru kukamatwa Netanyahu na Gallant
Nov 22, 2024 04:10Seneta wa Marekani Bernie Sanders ameunga mkono uamuzi uliotoloewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC jana Alkhamisi wa kuamuru kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa vita wa utawala huo haramu Yoav Gallant.
-
Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni
Nov 14, 2024 03:35Katibu Mkuu wa Hizbullah Sheikh Naim Qassem amewaandikia barua wapiganaji wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, akiwapongeza kwa mapambano ya kujivunia wanayoyaendeleza katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake.