Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi

    Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi

    Sep 08, 2024 11:35

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kuitembelea Iraq siku ya Jumatano katika safari yake ya kwanza ya nje tangu aingie madarakani.

  • Muqawama wa Iraq watumia droni za kamikaze kupiga Haifa

    Muqawama wa Iraq watumia droni za kamikaze kupiga Haifa

    Sep 04, 2024 07:00

    Harakati ya Muqawama ya Iraq imefanya shambulizi la ndege zisizo na rubani dhidi ya mji wa Haifa, kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Muqawama Iraq kuanzisha tena operesheni dhidi ya majeshi ya US

    Muqawama Iraq kuanzisha tena operesheni dhidi ya majeshi ya US

    Aug 26, 2024 12:19

    Makundi ya Muqawama ya kupambana na ugaidi ya Iraq yameafikiana kuanzisha tena operesheni dhidi ya kambi na vituo vya kijeshi vya Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • 75% ya Waisrael wanaamini Netanyahu ameshindwa kukabiliana na Hizbullah

    75% ya Waisrael wanaamini Netanyahu ameshindwa kukabiliana na Hizbullah

    Aug 24, 2024 11:08

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na taasisi ya habari ya Mako ndani ya jamii ya Wazayuni yanaonyesha kuwa asilimia 75 ya Waisraeli hawaridhishwi na namna serikali ya waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu inavyoshughulikia hali ya usalama kwenye mpaka wa kaskazini, ambako kila siku kunaandamwa na mashambulio makali ya Harakati ya Muqawama wa Kiisilamu ya Hizbullah ya Lebanon tangu Israel ilipoanzisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.

  • Muqawama Iraq: Jibu la Iran dhidi ya Israel litakuwa la nguvu

    Muqawama Iraq: Jibu la Iran dhidi ya Israel litakuwa la nguvu

    Aug 15, 2024 02:46

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq amesema jibu tarajiwa la Iran kwa mauaji ya kigaidi yaliyofanywa mwezi uliopita na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS litakuwa la nguvu, lenye taathira na la kimahesabu.

  • Ayatullah Khamenei: Kipaumbele muhimu ni utekelezaji wa makubaliano kati ya Iran na Iraq

    Ayatullah Khamenei: Kipaumbele muhimu ni utekelezaji wa makubaliano kati ya Iran na Iraq

    Jul 31, 2024 03:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba utekelezwaji wa mapatano baina ya nchi hizo mbili ndio kipaumbele muhimu zaidi.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya pamoja ya usalama kati ya Marekani na Iraq mjini Washington

    Duru mpya ya mazungumzo ya pamoja ya usalama kati ya Marekani na Iraq mjini Washington

    Jul 24, 2024 11:14

    Alina Romanowski, balozi wa Marekani mjini Baghdad, alitangaza siku ya Jumatatu kuhusu kuanza mazungumzo kati ya Marekani na Iraq huko Washington mji mkuu wa Marekani ajenda kuu ikiwa ni "mustakabali wa muungano wa kimataifa."

  • Iran iko tayari kushirikiana katika mapambano dhidi ya magendo ya madawa ya kulevya

    Iran iko tayari kushirikiana katika mapambano dhidi ya magendo ya madawa ya kulevya

    Jul 24, 2024 02:37

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema katika kikao cha Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Kupambana na Madawa ya Kulevya huko Baghdad kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kikamilifu kushirikiana na taasisi na mifumo ya kikanda na kimataifa kuendesha vita dhidi ya mihadarati.

  • Vikosi vya Yemen na Iraq vyafanya operesheni za kuitetea Palestina

    Vikosi vya Yemen na Iraq vyafanya operesheni za kuitetea Palestina

    Jul 16, 2024 07:18

    Vikosi vya wanamaji na vya makombora vya Yemen vimefanya operesheni nyingine dhidi ya meli za mafuta zilizokuwa zikielekea katika bandari za utawala wa Kizayuni unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.

  • Iran: Waliounga mkono mpango wa silaha za kemikali wa Saddam washtakiwe

    Iran: Waliounga mkono mpango wa silaha za kemikali wa Saddam washtakiwe

    Jul 11, 2024 13:22

    Balozi wa Iran nchini Uholanzi amesisitiza juu ya udharura wa kushtakiwa na kuadhibiwa waungaji mkono wa kigeni wa mpango wa silaha za kemikali wa utawala wa Baath wa Iraq uliokuuwa ukiongozwa na Saddam Hussein.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS