Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq yalaani Marekani kwa kufanyia jaribio kombora ndani ya ubalozi wake Baghdad

    Iraq yalaani Marekani kwa kufanyia jaribio kombora ndani ya ubalozi wake Baghdad

    Jul 05, 2020 02:04

    Serikali ya Iraq imeilaani Marekani kwa kufanyia majaribio mfumo wa makombora ya kujihami angani ndani ya ubalozi wake mjini Baghdad.

  • Gazeti la Kisaudi lililomvunjia heshima Ayatullah Sistani lalazimika kubadilisha msimamo

    Gazeti la Kisaudi lililomvunjia heshima Ayatullah Sistani lalazimika kubadilisha msimamo

    Jul 04, 2020 23:36

    Malalamiko makubwa na upinzani mkali wa viongozi na mirengo tofauti ya kisiasa ya Iraq, sambamba na hatua nyingi zilizochukuliwa na wananchi na makundi ya muqawama wa Kiislamu katika mitandao ya kijamii dhidi ya hatua ya gazeti la Kisaudi la Ash-Sharqul-Awsat ya kuchora katuni ya kumvunjia heshima kiongozi wa juu wa kidini wa nchini Iraq, hatimaye zimepelekea gazeti hilo lilazimike kuondoa katuni hiyo.

  • Magaidi sita wa ISIS watiwa mbaroni magharibi mwa Iraq

    Magaidi sita wa ISIS watiwa mbaroni magharibi mwa Iraq

    Jul 04, 2020 03:35

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia na Kupambana na Ugaidi katika mkoa wa Anbar magharbii mwa Iraq ametangaza habari ya kutiwa mbaroni wanachama sita wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Nukta nne muhimu katika matamshi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq kuhusu uvamizi wa ISIS nchini humo

    Nukta nne muhimu katika matamshi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq kuhusu uvamizi wa ISIS nchini humo

    Jul 03, 2020 22:07

    Nouri al Maliki, Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq amefanyiwa mahojiano maalumu na mtandao wa habari wa al Maluma na amezungumzia nukta nne muhimu zaidi kuhusu uvamizi wa magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Iraq wa mwaka 2014.

  • Ripoti: Wanajeshi wa Marekani wanapora mafuta ya Syria

    Ripoti: Wanajeshi wa Marekani wanapora mafuta ya Syria

    Jul 02, 2020 07:40

    Wanajeshi wa Marekani wamepora shehena ya matrela 30 ya mafuta ya petroli kutoka visima vya mafuta vya Syria na kuyapeleka Iraq.

  • Hashd al Shaabi: Marekani inataka kumalizia hamaki zake kwetu

    Hashd al Shaabi: Marekani inataka kumalizia hamaki zake kwetu

    Jun 29, 2020 03:37

    Kamanda wa harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al Hashd al Shaabi amesema kuwa, Marekani bado imejawa na hamaki na inataka kumalizia hamaki zake hizo kwa harakati hiyo ya wananchi ambayo inavuruga njama za Wamarekani hasa baada ya harakati hiyo kulishinda genge la kigaidi la Daesh (ISIS) lililoundwa na Marekani.

  • Al Hashdul Shaabi yaipongeza Iran kwa msaada wake katika kupambana na ugaidi

    Al Hashdul Shaabi yaipongeza Iran kwa msaada wake katika kupambana na ugaidi

    Jun 13, 2020 22:13

    Mkuu wa Idara ya Habari ya harakati ya wananchi wa Iraq ya al Hashdul Shaabi ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Iraq.

  • Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Jun 12, 2020 03:16

    Kumefikiwa mapatano ya kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq. Mapatano hayo yamefikiwa Alhamisi katika mkutano uliofanyika baina ya Abdulkarim Hashemi Mustafa mwakilishi wa serikali ya Iraq na David Hale mwakilishi wa serikali ya Marekani.

  • Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Jun 11, 2020 03:30

    Nchi 29 wanachama wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Iraq zimepunguza kwa asilimia 50 idadi ya wanajeshi wao vamizi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Jun 11, 2020 03:07

    Mazungumzo kati ya viongozi wa Iraq na Marekani yameanza leo Alkhamisi tarehe 11 Juni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS