-
Al Hashd al-Shaabi: Iran ilikuwa na nafasi kubwa katika kuihami Baghdad dhidi ya ISIS
Dec 31, 2023 11:43Mkuu wa harakati ya mapambano ya Iraq maarufu kwa jina la al Hashd al-Shaabi amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika kuihami na kuiunga mkono serikali ya Iraq katika kukabiliana na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq
Dec 27, 2023 02:53Serikali ya Baghdad imelaani vikali mashambulizi dhidi ya kambi tatu za Harakati ya Kataib Hizbullah nchini Iraq yaliyofanywa na vikosi vamizi vya Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden na kueleza kuwa, hujuma hizo hazikubaliki na zimekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq.
-
Amir-Abdollahian: Kuna haja ya kuimarishwa harakati za kidiplomasia ili kukabiliana na jinai za Wazayuni
Dec 25, 2023 07:11Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kuimarishwa juhudi za kidiplomasia kwa shabaha ya kukabiliana na jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Kambi ya jeshi ya Ain al-Asad ya US huko Iraq yashambuliwa kwa droni
Dec 15, 2023 11:23Kwa mara nyingine tena, wanamuqawama wa Kiislamu wa Iraq wamewashambulia kwa ndege isiyo na rubani (droni) wanajeshi wa vikosi vamizi vya Marekani katika kambi ya Ain al Asad huko Iraq.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa sita wa ushindi dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq
Dec 11, 2023 08:02Desemba 10, 2023, imesadifiana na kumbukumbu ya miaka sita ya ushindi wa Iraq dhidi ya magaidi wa kundi la ISIS au Daesh.
-
Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria
Nov 30, 2023 07:17Mshauri wa ngazi ya juu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepongeza Kambi ya Muqawama katika eneo na kusema "kutoroka" ndio hatima ya mwisho itakayovifika vikosi vamizi vya jeshi la Marekani nchini Syria na Iraq kama ilivyotokea Afghanistan.
-
Harakati ya Fat'h ya Iraq: Vita dhidi ya Wazayuni ndio kwanza vimeanza
Nov 26, 2023 12:03Mjumbe wa Muungano wa al Fat'h wa Iraq ameashiria jinsi makundi ya muqawama ya nchi hiyo yanavyoyaunga mkono makundi ya muqawama ya Palestina katika vita vya Ghaza na kusema kuwa, makundi hayo yataendelea kushambulia vituo vya wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Iraq.
-
Al-Khazali: Marekani haitaki kuondoka Iraq, inatumia kisingizio cha kupambana na Daesh
Nov 25, 2023 13:03Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Iraq amesema kuwa, vikosi vya majeshi ya Marekani havina nia ya kuondoka katika nchi hiyo ya Kiarabu na vinahalalisha uwepo wao kinyume cha sheria kwa kutumia kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh ambalo limekwishakufa na kutoweka.
-
Sababu na matokeo ya kuuzuliwa Spika wa Bunge la Iraq
Nov 18, 2023 06:44Jumanne iliyopita, Mahakama ya Juu ya Iraq ilimuuzulu Spika wa Bunge la nchi hiyo, Mohammad Al-Halbousi.
-
Kituo cha jeshi la Marekani Iraq chashambuliwa, droni yake ya MQ-9 yatunguliwa Yemen
Nov 09, 2023 07:12Vikosi vya Muqawama wa Kiislamu nchini Iraq vimeishambulia kambi ya jeshi la anga inayohifadhi wanajeshi wa Marekani nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya nchi hiyo.