Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Tehran wakati wa mgogoro wa Gaza

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Tehran wakati wa mgogoro wa Gaza

    Nov 07, 2023 07:46

    Waziri Mkuu wa Iraq Mohammad Shia al-Sudani, jana asubuhi akiwa ziarani hapa mjini Tehran alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Wanamuqawama wa Iraq washambulia kambi nne za Marekani  huko Iraq na Syria

    Wanamuqawama wa Iraq washambulia kambi nne za Marekani huko Iraq na Syria

    Nov 06, 2023 07:05

    Kwa mara ya nne leo asubuhi wanamuqawama wa Iraq wameshmbulia kambi za jeshi la Marekani huko Iraq na Syria.

  • Kata'ib Hizbullah: Ziara ya Blinken nchini Iraq haikubaliki

    Kata'ib Hizbullah: Ziara ya Blinken nchini Iraq haikubaliki

    Nov 06, 2023 03:00

    Harakati ya Muqawama ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imetishia kushadidisha hali ya taharuki iwapo Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken atafanya safari ya kuitembelea Baghdad.

  • Kambi za kijeshi za Marekani zashambuliwa kwa droni Iraq, Syria

    Kambi za kijeshi za Marekani zashambuliwa kwa droni Iraq, Syria

    Nov 04, 2023 03:03

    Vituo viwili vya kijeshi vya Marekani vimeshambuliwa katika hujuma za ndege zisizo na rubani (droni) katika eneo la Kurdistan la kaskazini mwa Iraq na katika mkoa wa Hasaka, mashariki mwa Syria.

  • Wanamuqawama wa Iraq waishambulia kwa droni kambi ya Marekani ya Ain al Asad

    Wanamuqawama wa Iraq waishambulia kwa droni kambi ya Marekani ya Ain al Asad

    Oct 27, 2023 14:09

    Kundi jina la Mujahidina wa Muqawama wa Kiislamu wa Iraq wameshambulia kwa ndege isiyo na rubani (droni) mahali walipo vikosi vamizi vya Marekani katika kambi ya Ain al Asad huko Iraq.

  • Vladimir Putin: Wakati umefika wa kutangazwa nchi huru ya Palestina

    Vladimir Putin: Wakati umefika wa kutangazwa nchi huru ya Palestina

    Oct 11, 2023 02:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amezungumzia kushindwa siasa za kibeberu za rais wa Marekani, Joe Biden za kuingilia masuala ya eneo la Asia Magharibi na kutilia mkazo wajibu wa kutekelezwa maamizio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayosisitizia kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Ayatullah Sistani: Waislamu wote wana wajibu wa kuwasaidia Wapalestina

    Ayatullah Sistani: Waislamu wote wana wajibu wa kuwasaidia Wapalestina

    Oct 10, 2023 14:09

    Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kuwaunga mkono, kuwahami na kuwasaidia wananchi wa Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • Ajuza wa Kiiraq aliyeishi umri mrefu zaidi afariki dunia akiwa na umri wa miaka 138

    Ajuza wa Kiiraq aliyeishi umri mrefu zaidi afariki dunia akiwa na umri wa miaka 138

    Oct 05, 2023 13:38

    Mwanamke mzee zaidi nchini Iraq ameaga dunia katika eneo la al-Islah, lililoko mashariki mwa mji wa Nasiriyah akiwa umri wa miaka 138.

  • Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Oct 04, 2023 06:48

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi yake haitageuzwa kuwa sehemu ya kukika mamlaka ya kujitawala ya nchi yoyote ile hasa nchi jirani.

  • Kamanda wa jeshi la Iraq: Hatuhitaji wanajeshi wa kigeni wawepo nchini

    Kamanda wa jeshi la Iraq: Hatuhitaji wanajeshi wa kigeni wawepo nchini

    Sep 28, 2023 14:17

    Kamanda wa operesheni za pamoja za vikosi vya ulinzi vya Iraq amesema: "nchi hii ina uwezo unaohitajika wa kupambana na magaidi na wala haihitaji kuwepo askari wa kigeni".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS