-
Trump: Marekani ilifanya makosa kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan
Jan 16, 2017 03:03Rais mteule wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo ilifanya makosa kuzivamia nchi za Iraq na Afghanistan.
-
Malengo ya Uturuki ya kuendelea kukiuka haki ya kujitawala Iraq
Jan 16, 2017 00:22Licha ya malalamiko ya kila mara na mashitaka ya serikali ya Iraq katika asasi za kieneo na kimataifa, bado Uturuki imekataa kuondoa askari wake kutoka kambi ya kijeshi ya Bashiqa.
-
Wapiganaji zaidi ya 200 wa kundi la kigaidi la Daesh waangamizwa Mosul, Iraq
Jan 10, 2017 01:19Kamanda wa operesheni ya kukomboa mji wa Mosul uliokuwa ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq amesema kuwa magaidi wasiopungua 200 wa kundi hilo wameangamizwa katika operesheni iliyofanywa na jeshi la Iraq jana Jumatatu katika mji huo.
-
Kipigo kikali cha jeshi la Iraq na harakati ya wananchi dhidi ya magaidi wa Daesh (ISIS)
Jan 08, 2017 08:29Habari kutoka Iraq zinaeleza kuwa jeshi la nchi hiyo kwa kushirikiana na harakati ya kujitolea ya wananchi, limetoa kipigo kikali kwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Mosul na hivyo kufanikiwa kuingia mji huo ambao ni makao makuu ya mkoa wa Nainawa (Nineveh).
-
Magaidi wa Daesh walipua daraja linalounganisha mji wa Mosul
Jan 08, 2017 04:10Kamanda wa operesheni za kuukomboa mkoa wa Nainawa (Nineve) kaskazini mwa Iraq, amesema kuwa, genge la kigaidi na kitakfiri la Daesh, limeripua upande wa kulia wa daraja la Mto Tigris linalouonganisha mji wa Mosul na maeneo mengine.
-
Iraq: Mosul hivi karibuni utakuwa tayari umekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi wa ISIS
Jan 06, 2017 01:18Kamanda wa operesheni za vikosi vya jeshi la Iraq amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo tayari limekomboa asilimia 70 upande wa mashariki wa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na kwamba inatazamiwa siku chache zijazo mji wote wa Mosul utakuwa umekombolewa na jeshi hilo.
-
Ushirikiano wa Iran, Iraq, Syria na Russia katika vita dhidi ya ugaidi
Jan 05, 2017 01:06Haidar al Abadi, Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, ushirikiano wa Iraq, Russia, Syria na Iran katika vita dhidi ya ugaidi ni kwa maslahi ya wote.
-
UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016
Jan 04, 2017 00:26Umoja wa Mataifa umesema takriban raia elfu 7 wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS mwaka uliomalizika wa 2016 nchini Iraq.
-
Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq
Jan 03, 2017 10:21Vyombo vya usalama nchini Iraq vimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul ulioko kaskazini mwa nchi.
-
Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq
Dec 31, 2016 11:23Milipuko miwili iliyotokea katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu wasiopungua 28.