-
Mashia na Masuni Iraq wajadili mustakbali baada ya kuangamizwa ISIS
Dec 30, 2016 12:18Mirengo mikubwa zaidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni katika Bunge la Iraq imeafikiana kuhusu namna ya kurejesha ustawi na amani katika nchi hiyo baada ya maangamizo tarajiwa ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Uingiliaji wa madola ya kigeni, sababu ya kurefuka ukombozi wa Mosul
Dec 26, 2016 08:38Sayyid Ammar al Hakim, Mkuu wa Muungano wa Taifa wa Mashia wa Iraq amesema, ushahidi unaonesha kuwa, kuweko maafisa wengi wa kijeshi na kijasusi wa nchi za eneo la Mashariki ya Kati huko Iraq, kunazorotesha juhudi za nchi hiyo za kupambana na magaidi.
-
Magaidi Mosul, Iraq wanaongozwa na maafisa wa kijeshi wa nchi jirani
Dec 25, 2016 12:14Ushahidi umebaini kuwa, maafisa wa kijeshi na kijasusi wa nchi za eneo la Mashariki ya Kati wanahusika katika kuwaongoza na kuwaelekeza magaidi katika mji wa Mosul nchini Iraq.
-
Kuendelea kukosolewa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu vita dhidi ya ugaidi
Dec 25, 2016 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekosoa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu masuala ya eneo la Mashariki ya Kati na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria
Dec 09, 2016 04:09Duru za usalama nchini Iraq zimetangaza kuwa, usalama umeimarishwa katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul
Dec 07, 2016 00:26Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.
-
Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul
Dec 06, 2016 04:14Vyombo vya kuaminika katika mkoa wa Nineveh huko kaskazini mwa Iraq vimeripoti kuwa, makamanda wa kundi la Daesh akiwemo kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakar al Baghdadi, wameukimbia mji wa Mosul na kuelekea katika maeneo ya mpaka wa Iraq na Syria.
-
Jeshi la Iraq laendelea kukomboa maeneo ya Mosul na kuwafurusha Daesh
Dec 05, 2016 11:29Msemaji wa komandi ya oparesheni ya pamoja ya Iraq ametangaza habari ya mpango mpya ulioandaliwa na jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh huko Mosul.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Ushindi dhidi ya DAESH unakaribia
Dec 03, 2016 04:21Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesema, kutokana na kusonga mbele vikosi vya pamoja vya nchi hiyo katika pande zote za medani ya vita kwa ajili ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya kundi la kigaidi la kitakfiri na Daesh, ushindi wa jeshi la nchi hiyo uko karibu mno kupatikana.
-
Hashdu Shaabi yakomboa vijiji 2, yaokoa familia elfu 2 Mosul, Iraq
Nov 30, 2016 11:34Kikosi cha kujitolewa cha Hashdu Shaabi kinachoshirikiana na jeshi la Iraq katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh kimefanikiwa kukomboa vijiji viwili vya mji huo sambamba na kuokoa familia zaidi ya elfu mbili zilizokuwa zikiishi kwenye mazingira magumu sana katika vijiji hivyo.