-
Mufti wa Comoro: Uvumi kuhusu kuanzishwa uhusiano na Israel hauna msingi
Oct 22, 2021 06:34Abubakr Abdallah Jamal al-Lail, Mufti wa visiwa vya Comoro amesema madai kuwa nchi hiyo ina nia ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel hayana msingi wowote.
-
HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU
Oct 18, 2021 00:23Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
-
HAMAS yakosoa hatua ya Saudia ya kuusifu utawala haramu wa Israel
Oct 17, 2021 08:56Moussa Abu Marzouk, mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, hakuna wakati wowote ule ambao Israel ilikuwa sababu ya amani na uthabiti Asia Magharibi na wala hakuna wakati itakuwa hivyo.
-
Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel
Oct 15, 2021 00:49Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
OIC yalaani hatua ya Israel kubomoa makuburi ya Wapalestina Quds
Oct 13, 2021 09:26Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Iran: Hatutaruhusu uwepo wa Israel karibu na mipaka yetu
Oct 11, 2021 04:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitaruhusu uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na mipaka yake.
-
Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli
Oct 10, 2021 04:17Mfumo wa ngao ya makombora wa Syria umefanikiwa kutungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mkoa wa Homs, katikati mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Abbas akutana na mawaziri wa Israel usiku wa manane Ramallah
Oct 04, 2021 08:07Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wawili wa utawala haramu wa Israel mjini Ramallah, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Shirika la ujasusi la Kizayuni lafungua ofisi yake ya uwakilishi Abu Dhabi, UAE
Oct 01, 2021 09:59Duru za habari zimeripoti kuwa, shirika moja la kizayuni linalotengeneza vifaa vya intaneti vya ujasusi limefungua ofisi yake mjini Abu Dhabi, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
-
Khatibzadeh: Kuikaribisha Israel eneo la Ghuba ya Uajemi kunavuruga amani
Oct 01, 2021 04:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa, aina yoyote ya kuandaa mazingira ya kuwepo Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi inatazidisha machafuko na mivutano katika eneo hilo na kunapaswa kulaaniwa.