Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hamas yaonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Ghaza

    Hamas yaonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Ghaza

    Apr 06, 2016 02:59

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, ameonya kuhusu maafa ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.

  • EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    Apr 05, 2016 03:13

    Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    Apr 03, 2016 23:08

    Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.

  • Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Apr 01, 2016 03:22

    Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.

  • Upinzani wa Marekani na Israel kwa azimio la Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa

    Upinzani wa Marekani na Israel kwa azimio la Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa

    Apr 01, 2016 02:37

    Katika kuendeleza siasa zake za kuunga mkono sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa mara nyengine tena serikali ya Marekani imechukua msimamo usio wa kiutu na dhidi ya Wapalestina.

  • Silaha gani ni ya hatari zaidi inayotumiwa na MOSSAD kwa ajili ya kuilinda Israel?

    Silaha gani ni ya hatari zaidi inayotumiwa na MOSSAD kwa ajili ya kuilinda Israel?

    Mar 26, 2016 23:35

    Mtandao wa Intaneti wa "Sauti ya Israel" umefichua kuwa, silaha ya hatari zaidi inayotumiwa na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni MOSSAD ni mwili wa mwanamke wa Kiyahudi.

  • Dunia yaendelea kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Dunia yaendelea kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Mar 26, 2016 23:34

    Takwimu na ripoti zilizotolewa hivi karibuni kuhusu ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina zinaonesha kutokea kwa maafa ya kutisha yaliyofanywa na Israel katika duru mpya ya ukatili wa utawala huo huko katika ardhi za Palestina katika miezi ya hivi karibuni.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Mar 21, 2016 23:07

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.

  • Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Mar 21, 2016 11:42

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 21, 2016 03:48

    Idadi kubwa ya Mayahudi ambao ni wafuasi wa Kanisa la Orthodox pamoja na wanaharakati wa Kipalestina wameandamana nchini Marekani na kukusanyika mbele ya Ikulu ya White House wakiulaani utawala haramu wa Israel unaotenda jina kila leo dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS