-
Hamas yaonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Ghaza
Apr 06, 2016 02:59Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, ameonya kuhusu maafa ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza kutokana na mzingiro wa kinyama wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.
-
EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni
Apr 05, 2016 03:13Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel
Apr 03, 2016 23:08Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.
-
Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria
Apr 01, 2016 03:22Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.
-
Upinzani wa Marekani na Israel kwa azimio la Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa
Apr 01, 2016 02:37Katika kuendeleza siasa zake za kuunga mkono sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa mara nyengine tena serikali ya Marekani imechukua msimamo usio wa kiutu na dhidi ya Wapalestina.
-
Silaha gani ni ya hatari zaidi inayotumiwa na MOSSAD kwa ajili ya kuilinda Israel?
Mar 26, 2016 23:35Mtandao wa Intaneti wa "Sauti ya Israel" umefichua kuwa, silaha ya hatari zaidi inayotumiwa na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni MOSSAD ni mwili wa mwanamke wa Kiyahudi.
-
Dunia yaendelea kupinga jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Mar 26, 2016 23:34Takwimu na ripoti zilizotolewa hivi karibuni kuhusu ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina zinaonesha kutokea kwa maafa ya kutisha yaliyofanywa na Israel katika duru mpya ya ukatili wa utawala huo huko katika ardhi za Palestina katika miezi ya hivi karibuni.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel
Mar 21, 2016 23:07Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.
-
Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel
Mar 21, 2016 11:42Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 21, 2016 03:48Idadi kubwa ya Mayahudi ambao ni wafuasi wa Kanisa la Orthodox pamoja na wanaharakati wa Kipalestina wameandamana nchini Marekani na kukusanyika mbele ya Ikulu ya White House wakiulaani utawala haramu wa Israel unaotenda jina kila leo dhidi ya Wapalestina.