Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Jul 25, 2024 03:41

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International imeonya Marekani kuhusu kuupa silaha utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza na kutangaza kuwa, Washington ni mshirika wa utawala huo katika mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.

  • Maelfu waandamana Washington kupinga ziara ya Netanyahu ; wataka kusitishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Maelfu waandamana Washington kupinga ziara ya Netanyahu ; wataka kusitishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Jul 24, 2024 23:47

    Maelfu ya watu wakiwemo Wayahudi wa Kimarekani jana waliandamana katika mji wa Washington wakati Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Israel alipokuwa akihutubua katika kikao cha pamoja cha Bunge la Kongresi ya Marekani.

  • Pakistan yamtangaza rasmi Netanyahu kuwa ni gaidi, yaitaka Jamii ya Kimataifa nayo pia ifanye hivyo

    Pakistan yamtangaza rasmi Netanyahu kuwa ni gaidi, yaitaka Jamii ya Kimataifa nayo pia ifanye hivyo

    Jul 23, 2024 03:02

    Serikali ya Pakistan imetangaza kuwa Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni, ni "gaidi".

  • Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Hatimaye utawala wa Kizayuni wakiri kuwa umeua mateka wake Ghaza

    Jul 23, 2024 03:02

    Baada ya siku 290 za vita, hatimaye jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa makumi ya mateka wa Kizayuni wameuliwa katika ukanda wa Ghaza na askari wa utawala huo.

  • Yemen yashambulia Bandari ya Eilat kwa makombora ya balestiki

    Yemen yashambulia Bandari ya Eilat kwa makombora ya balestiki

    Jul 21, 2024 07:33

    Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vimeipiga kwa makombora ya balestiki Bandari ya Eilat, kusini ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, katika operesheni ya kulipiza kisasi.

  • Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Jul 20, 2024 04:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuvitaja vitongoji ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kuwa ni kinyume cha sheria.

  • HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    Jul 19, 2024 07:38

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za HAMAS na Jihadul Islami zimeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina ibatilishe uamuzi wake wa kuutambua utawala haramu wa Israel.

  • Jeshi la Yemen laipiga Tel Aviv kwa droni mpya ya 'Yafa', taharuki yatanda

    Jeshi la Yemen laipiga Tel Aviv kwa droni mpya ya 'Yafa', taharuki yatanda

    Jul 19, 2024 07:21

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa baada ya mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel kushindwa kutungua shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) lililofanywa na jeshi la Yemen dhidi ya mji wa bandari wa Yafa (Tel Aviv) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel, viungani mwa Tel Aviv.

  • Iran yalitaka Baraza la Usalama liilazimishe Israel ikomeshe mauaji ya kimbari Gaza

    Iran yalitaka Baraza la Usalama liilazimishe Israel ikomeshe mauaji ya kimbari Gaza

    Jul 17, 2024 23:32

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kivitendo za kuulazimisha utawala wa Kizayuni ukomeshe 'mara moja na bila masharti yoyote' mauaji ya kimbari unaoyafanya dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Bagheri Kani: Marekani ni kikwazo kikuu katika kuhitimisha mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza

    Bagheri Kani: Marekani ni kikwazo kikuu katika kuhitimisha mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza

    Jul 17, 2024 00:11

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameishutumu Marekani kwa vita vya mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza. Ali Bagheri Kani amesisitiza umuhimu wa kushirikiana pande kadhaa ili kurejesha amani na utulivu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS