-
UN: Elfu 80 mashariki mwa Congo walazimika kukimbia vita na machafuko
Jul 12, 2017 04:05Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu wapatao elfu 80 wamekimbia makazi yao huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na vita na mapigano yanayoendelea kati ya jeshi la serikali ya nchi hiyo na muungano mpya wa makundi ya waasi.
-
SAUTI, Hatimaye waasi wa Ninja wawaachilia huru abiria wa mabasi mawili waliyoyateka, huku wakiwanyang'anya mavazi yao
May 29, 2017 15:15Hatimaye Waasi wa Ninja nchini Congo Brazzaville wamewaachilia huru raia waliowateka nyaraka siku chache zilizopita baada ya juhudi za jeshi la nchi hiyo za kuwaokoa kuambulia patupu.
-
AI yapinga tuhuma za serikali ya Congo dhidi ya kiongozi wa kambi ya upinzani
Feb 13, 2017 07:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limepinga tuhuma zilizotolewa na serikali ya Jamhuri ya Congo dhidi ya Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini humo.
-
Jamhuri ya Kongo nayo inajiandaa kujiondoa ICC?
Nov 04, 2016 15:50Wimbi la nchi za Afrika kujiondoa kwenye Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC limeendelea kushuhudiwa barani humo huku vyama vya siasa katika Jamhuri ya Kongo Brazaville vikiitaka serikali ya nchi hiyo ifuate mkondo huo.
-
SAUTI: Hatimaye serikali na waasi nchini Kongo DR wakubaliana kuunda serikali ya mseto kuelekea uchaguzi wa raia 2018
Oct 18, 2016 16:49Hatimaye na baada ya muda mrefu wa vutanikuvute ya mazungumzo ya kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, serikali na upande wa upinzani zimetiliana saini ya kumaliza hali ya mchafukoge nchini.
-
SAUTI: Mfahamu Pasta, Frédéric Ntumi anayeongoza kundi la waasi wa Ninja nchini Congo Brazzaville dhidi ya
Oct 03, 2016 03:16Mapigano yameendelea kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Congo Brazzaville kati ya wapiganaji wa Frédéric Ntumi na askari wa serikali ya Rais Denis Sassou Nguesso.
-
SAUTI: Mfahamu Pasta, Frédéric Ntumi anayeongoza kundi la waasi wa Ninja nchini Congo Brazzaville dhidi ya serikali
Oct 02, 2016 18:28Mapigano yameendelea kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Congo Brazzaville kati ya wapiganaji wa Frédéric Ntumi na askari wa serikali ya Rais Denis Sassou Nguesso.
-
Kiongozi wa upinzani Kongo ahukumiwa jela miaka miwili
Jul 26, 2016 07:44Mahakama ya Congo Brazzaville imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela Paulin Makaya, kiongozi wa upinzani kwa tuhuma za kuchochea machafuko ya ndani nchini humo.
-
Aliyekuwa mgombea urais wa upinzani Kongo Brazzaville atiwa nguvuni
Jun 15, 2016 15:35Chama cha upinzani cha l'IDC-FROCAD nchini Jamhuri ya Kongo kimetangaza kuwa aliyekuwa mgombea wake wa urais Jenerali mstaafu Jean-Marie Michel Mokoko ametiwa nguvuni na vyombo vya dola.
-
Jitihada za serikali ya Kongo Brazaville katika kupambana na ufisadi
Jun 05, 2016 03:47Serikali ya Jamhuri ya Kongo au Kongo Brazaville imesema kuwa ufisadi wa fedha unaoikabili nchi hiyo unakwamisha ustawi wa kiuchumi na kijamii nchini humo.