Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Araqchi: Kuimarisha uhusiano na nchi zote ni sera ya serikali ya Iran

    Araqchi: Kuimarisha uhusiano na nchi zote ni sera ya serikali ya Iran

    Aug 29, 2024 07:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema sera ya serikali ya 14 ya Iran ni kupanua uhusiano na nchi zote za dunia hususan nchi za Asia Mashariki.

  • Japan yasema itaitambua Palestina kwa 'njia kamilifu'

    Japan yasema itaitambua Palestina kwa 'njia kamilifu'

    Aug 15, 2024 02:45

    Serikali ya Japan imesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa, inatathmini suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.

  • Japan inatafakari kulitambua rasmi taifa huru la Palestina

    Japan inatafakari kulitambua rasmi taifa huru la Palestina

    Jul 14, 2024 06:48

    Serikali ya Japan imefichua kuwa, inatathmini kwa uzito mkubwa suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.

  • Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Asia Magharibi umesababishwa na mashambulizi ya Israel

    Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Asia Magharibi umesababishwa na mashambulizi ya Israel

    Apr 17, 2024 06:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan na kusisitiza kuwa, mgogoro uliopo katika eneo la Asia Magharibi hivi sasa umesababishwa na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni kwenye Ukanda wa Ghaza.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na Gaza yafanyika katika nchi mbalimbali

    Maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na Gaza yafanyika katika nchi mbalimbali

    Mar 31, 2024 11:28

    Wananchi huko Italia, Norway, Marekani, Japan na Morocco kwa mara nyingine tena wameandamana kulaani mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina yanayofanywa na wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

  • Chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka Japan tangu Israel ilipoanza kuishambulia kijeshi Ghaza

    Chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka Japan tangu Israel ilipoanza kuishambulia kijeshi Ghaza

    Mar 07, 2024 12:00

    Mwanaakademia wa Kijapan, Kayyim Naoki Yamamoto amesema, hisia za chuki dhidi ya Waislamu nchini Japan zinaongezeka tangu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kikatili na mashambulio ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.

  • Iran yaicharaza Japan 2-1 na kutinga nusu fainali ya Kombe La Asia

    Iran yaicharaza Japan 2-1 na kutinga nusu fainali ya Kombe La Asia

    Feb 03, 2024 14:49

    Mkwaju wa penalti wa dakika za mwisho wa Alireza Jahanbakhsh uliipa Iran ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan Jumamosi na kuiwezesha timu hii ya taifa ya soka ya Iran kutinga nusu fainali ya Kombe la Asia kwa mara ya pili tangu 2004.

  • Tahadhari ya tsunami baada ya zilzala yenye ukubwa wa 7.6 kuipiga Japan

    Tahadhari ya tsunami baada ya zilzala yenye ukubwa wa 7.6 kuipiga Japan

    Jan 01, 2024 11:54

    Idara ya Hali ya Hewa ya Japan imeonya kuwa, kuna tishio la kutokea kwa mawimbi makubwa ya tsunami nchini humo kufuatia tetemeko la ardhi lililokuwa na ukubwa wa 7.6 kwa kipimo cha rishta.

  • Iran: Haiwezekani kabisa kuuvunja nguvu muqawama

    Iran: Haiwezekani kabisa kuuvunja nguvu muqawama

    Dec 20, 2023 11:14

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, harakati ya muqawama ni uhakika wa kieneo ambao ndio unaoleta utulivu na usalama katika ukanda huu mzima na ndiyo nguvu inayopambana kikweli na vitendo vya kigaidi na magenge ya ukufurishaji.

  • Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Sep 08, 2023 03:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa taarifa ya pamoja iliyotolewa na Japan na nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vitatu vya Iran vya Bu Musa, Tomb Ndogo na Tomb Kubwa na kusisitiza kuwa taarifa hiyo haina umuhimu wowote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS