-
Boroujerdi: Iran haitoheshimu maafikiano ya JCPOA iwapo itahisi hayana faida kwake
Apr 07, 2018 11:51Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kuwa, Tehran inaendelea kuheshimu maafikiano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na kuhisi ina manufaa ndani yake, lakini kama Marekani itajitoa kwenye maafikiano hayo, Iran nayo haitaona haja ya kuendelea nayo.
-
Iran: Tutatoa jibu kali iwapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 05, 2018 23:18Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amezitahadharisha nchi zinazotaka kuvuruga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kati ya Iran na nchi 6 wanachama wa kundi la 5+1 na kusisitiza kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua kama hiyo.
-
Wataalamu 100 wa usalama wa taifa Marekani wamtaka Trump aheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 27, 2018 12:23Zaidi ya shakhsia 100 wakiwemo wataalamu na maafisa wa kijeshi na kisiasa wa zamani wa Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aheshimu makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Araqchi: Hatua yoyote ya kuvuruga mapatano ya JCPOA itakuwa na mwisho mbaya
Mar 26, 2018 10:42Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita za kundi la 5+1 ni mapatano ya kiusalama na yanahusiana moja kwa moja na usalama wa eneo la Mashariki ya Kati na wa kimataifa, na uvurugaji wa aina yoyote wa makubaliano hayo utakuwa na matokeo mabaya kwa jamii ya kimataifa.
-
Abdollahian: Uteuzi wa Bolton ni kwa lengo la kupata manufaa zaidi Marekani kupitia JCPOA
Mar 26, 2018 03:22Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani cha kuwapa vyeo muhimu watu wenye misimamo mikali kama John Bolton kwa hakika ni siasa za kutaka kupata manufaa zaidi kupitia maafikiano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 23, 2018 03:27Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 16, 2018 03:20Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.
-
Rouhani: Pande zote zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya Iran yatavunjika
Mar 05, 2018 23:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pande zote husika zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yatasambaratika, katika hali ambayo Marekani inafanya jitihada za kuyafelisha mapatano hayo na kutoa vitisho vya kujiondoa kwenye makubaliano hayo kila mara.
-
Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani
Mar 05, 2018 13:44Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa baadhi ya matamshi na mienendo ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusuna na utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile tabia yao ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.
-
Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya JCPOA
Mar 05, 2018 12:59Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuongeza kuwa wakala huo umeweza kufanya ukaguzi kwenye maeneo na vituo vyote ilivyohitajia ndani ya Iran.