Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Uungaji mkono wa Umoja wa Afrika kwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Uungaji mkono wa Umoja wa Afrika kwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 17, 2017 09:28

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesisitiza kuwa, umoja huo unaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza utekelezwaji kikamilifu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wasisitiza utekelezwaji kikamilifu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Oct 17, 2017 04:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya Jumatatu baada ya kumalizika kikao chao mjini Luxembourg walitoa taarifa na kutuangaza kuunga mkono na kuendeleza ushirikiano kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Oct 17, 2017 02:40

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kubakia Marekani peke yake kufuatia hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA ni kati ya mafanikio ya Iran

  • Clinton: Trump ameifanya Marekani ionekane nchi ya kijinga kuhusu Iran

    Clinton: Trump ameifanya Marekani ionekane nchi ya kijinga kuhusu Iran

    Oct 17, 2017 00:53

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton amesema hatua ya Rais Donald Trump ya kuvuruga mapatano ya nyuklia ya Iran ya mwaka 2015 ni jambo ambalo limeifanya Marekani ionekane kuwa nchi duni na ya kijinga.

  • Umoja wa Afrika waunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Umoja wa Afrika waunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 16, 2017 10:41

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesisitiza kuwa, umoja huo unaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Tufani iliyomsomba Trump

    Tufani iliyomsomba Trump

    Oct 16, 2017 04:58

    Hotuba iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani na misimamo yake ya kustaajabisha kuhusu sekta ya ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimezusha tufani na kimbunga kikubwa.

  • Larijani: Marekani haiheshimu mapatano ya kimataifa

    Larijani: Marekani haiheshimu mapatano ya kimataifa

    Oct 15, 2017 23:02

    Spika wa Bunge la Iran Ali Larijani amesema Rais Donald Trump wa Marekani hajali mapatano ya kimataifa na wala haheshimu Umoja wa Mataifa na amezionyesha nchi zote kuwa nchi yake haiminiki.

  • Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni Fakhari ya Taifa la Iran

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni Fakhari ya Taifa la Iran

    Oct 15, 2017 10:18

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni fakhari kubwa kwa taifa la Iran.

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • Iran: Trump ni mfanyabiashara, hajui chochote kuhusu siasa na diplomasia

    Iran: Trump ni mfanyabiashara, hajui chochote kuhusu siasa na diplomasia

    Oct 15, 2017 04:32

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Katika Masuala ya Kimataifa amesema tabia zisizo na mantiki za Rais Donald Trump wa Marekani zinaashiria kuwa hajui siasa wala hana ufahamu kuhusu mambo ya historia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS