Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Dec 17, 2016 04:04

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema Marekani inaendelea kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Wito wa Mogherini wa kutaka EU na Russia ziwe na msimamo mmoja kuhusiana na JCPOA

    Dec 17, 2016 03:43

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametaka kuwepo na msimamo mmoja baina ya umoja huo na Russia katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wa makubaliano hayo.

  • Rais Rouhani atoa agizo la kuundwa vifaa endeshi vya nyuklia kufuatia kukiukwa JCPOA

    Rais Rouhani atoa agizo la kuundwa vifaa endeshi vya nyuklia kufuatia kukiukwa JCPOA

    Dec 13, 2016 13:14

    Rais Hassan Rouhani ametoa maagizo maalumu ya utekelezaji kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki (AEOI) kutokana na upuuzaji, uzembeaji na ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia uliofanywa na Marekani.

  • Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote

    Dec 13, 2016 04:39

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za kundi la 5+1 kunategemea iwapo pande zote zitayaheshimu na kuyatekeleza makubaliano hayo ipasavyo au la.

  • IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Dec 07, 2016 03:52

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.

  • Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Iran Kuchukua hatua kali kuhusu ukiukwaji wa mapatano ya nyuklia

    Dec 06, 2016 02:28

    Iran itachukua hatua kali na imara iwapo kutakuwepo ukiukwaji wowote wa mapatano ya nyuklia baina yake na madola sita makubwa duniani.

  • Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Dec 05, 2016 11:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani ubaguzi na ukatili unaofanywa dhidi ya makundi ya kidini nchini Myanmar.

  • Rais Hassan Rouhani: Muswada wa Bunge la Marekani ni ukiukaji wa JCPOA

    Rais Hassan Rouhani: Muswada wa Bunge la Marekani ni ukiukaji wa JCPOA

    Dec 04, 2016 11:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa la Iran litachukua hatua madhubuti na za kivitendo mkabala na uvunjaji ahadi, kigugumizi na ucheleweshaji wa aina yoyote ile katika kutekeleza mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Waziri Mkuu wa Uingereza aunga mkono makubaliano ya nyuklia Iran

    Dec 01, 2016 04:15

    Msemaji wa Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa Bi May anaunga mkono kikamilifu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na anataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano hayo.

  • Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Iran: Tutajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuvunja JCPOA

    Nov 30, 2016 12:59

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama Marekani itarefusha vikwazo dhidi ya Iran, basi Jamhuri ya Kiislamu itaongeza kiwango cha urutubishaji wake wa urani kwa "SWU" laki moja na 90 elfu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS