• Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Nov 30, 2016 09:42

    John O. Brennan, Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amemuonya Donald Trump, rais mteule wa Marekani kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kwa jina la JCPOA na kusisitiza kuwa, haitakuwa busara hata kidogo kufutwa makubaliano yaliyotiwa saini na Tehran na Washington.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran ni kinyume na JCPOA

    Kiongozi Muadhamu: Kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran ni kinyume na JCPOA

    Nov 23, 2016 11:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.

  • Iran na Ufaransa zasisitiza umuhimu wa kutekelezwa JCPOA

    Iran na Ufaransa zasisitiza umuhimu wa kutekelezwa JCPOA

    Nov 19, 2016 04:35

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufaransa zimesisitizia umuhimu wa kutekelezwa makubaliano ya nyuklia ya Vienna, yaliyosainiwa kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1.

  • Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Nov 14, 2016 04:34

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Nov 12, 2016 01:13

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif ameonya kuwa iwapo rais mteule wa Marekani atakiuka mapatano ya nyuklia, basi Iran ina machaguo mengine ya kukabiliana na hali hiyo.

  • Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Oct 26, 2016 11:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zipo mbioni kurejesha na kuimarisha uhusiano wao na Tehran, tokea yafikiwe mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    Oct 04, 2016 01:15

    Mfuko wa Fedha Duniani IMF umesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unakuwa kwa kasi kubwa kufuatia kutekelezwa kwa makubaliano ya nyuklia unaofahamika kama Mpango Kamili ya Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Rais Rouhani: Utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano ya nyuklia

    Sep 23, 2016 10:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, tume ya pamoja ya kuratibu mapatano ya nyuklia, maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), imesema utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano hayo.

  • Federica Mogherini: Iran imetekeleza makubaliano ya JCPOA

    Federica Mogherini: Iran imetekeleza makubaliano ya JCPOA

    Sep 23, 2016 04:34

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikia baina yake na kundi la 5+1.

  • Kikao cha kwanza cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1

    Kikao cha kwanza cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1

    Sep 22, 2016 23:14

    Kikao cha kwanza cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1 katika ngazi ya mawaziri baada ya kuanza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia (JCPOA) kilifanyika jana Alhamisi huko New York, Marekani kufuatia ombi la Iran.