-
Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC
Mar 16, 2019 01:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo itawawekea marufuku ya viza ya kuingia Marekani maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai watakaotaka kuwasaili na kuwachunguza wanajeshi wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kufanya jinai za kivita huko Afghanistan.
-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel
Mar 01, 2019 04:43Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, imeunga mkono ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai ambazo zinatendwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain
Jan 20, 2019 22:02Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.
-
Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen
Sep 17, 2018 23:28Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.
-
HRW: Serikali na wanaotaka kujitenga wamehusika na jinai Cameroon
Jul 20, 2018 20:48Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema jeshi la serikali na kundi linalotaka kujitenga eneo la watu wanaozungumza Kiingereza Cameroon wamehusika katika mauaji na jinai nyingine za kutisha nchini humo.
-
Kwa mara ya pili mfululizo, Saudia yawekwa kwenye orodha nyeusi ya nchi zinazokiuka haki za watoto duniani
Jul 04, 2018 22:11Kamanda wa muungano wa wavamizi wa Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia amekanusha ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inayosisitiza kuwa muungano huo unaua watoto wadogo wa Yemen.
-
Ansarullah: Umoja wa Mataifa unahalalisha uvamizi wa Saudia na waitifaki wake Yemen
Jun 16, 2018 21:02Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuwa, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo hajafanya lolote la maana na anafanya juhudi za kuhalalisha uvamizi wa Yemen. Taarifa ya harakati hiyo imesisitiza kuwa, utendaji wa mwakilishi wa sasa wa Katibu Mkuu wa UN nchini Yemen hautofautiani na ule wa mwakilishi wa kabla yake.
-
Saudia yaendelea kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Yemen
Jun 15, 2018 02:20Ndege za kivita za Saudi Arabia zimelishambulia eneo la Khadhrawan katika mkoa wa Sa'ada kwa kutumia mabomu ya vishada yaliyopigwa marufuku kimataifa.
-
Mohammad bin Salman; baina ya kulewa madaraka na jinamizi la kuhukumiwa kwa jinai zake
Jan 21, 2018 09:57Msemaji wa shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lianze kumfuatilia kisheria na kumchukulia hatua Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudia kutokana na jinai za kivita anazozitenda nchini Yemen
-
Kushtadi mauaji ya Saudi Arabia ikishirikiana na Marekani dhidi ya wananchi wa Yemen
Dec 30, 2017 04:39Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen amekosoa vikali kuendelea kuuawa kiholela raia katika nchi hiyo, mauaji ambayo yamekuwa yakifanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.