Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

John Kerry

  • Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Jul 18, 2023 05:19

    John Kerry, mwanadiplomasia mkongwe na mwakilishi maalum wa Marekani katika masuala ya tabianchi aliwasili China Jumapili.

  • John Kerry wa Marekani akosolewa kwa kupuuza mabadiliko ya tabianchi Afrika

    John Kerry wa Marekani akosolewa kwa kupuuza mabadiliko ya tabianchi Afrika

    Sep 19, 2022 10:59

    Wanaharakati wa hali ya hewa safi kutoka nchi za Afrika zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara, wamemkosoa vikali mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya tabianchi John Kerry kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu kusaidiwa bara la Afrika kukabiliana na athari mbaya za uchafuzi wa hewa.

  • Mike Pompeo: John Kerry anafanya juhudi kubwa za kuidhoofisha serikali ya Trump

    Mike Pompeo: John Kerry anafanya juhudi kubwa za kuidhoofisha serikali ya Trump

    Sep 20, 2018 15:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo sambamba na kumkosoa vikali waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo, John Kerry, kwa mara nyingine amesema kuwa, Kerry anafanya njama kubwa zenye lengo la kuidhoofisha serikali ya Rais Donald Trump.

  • John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA

    John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA

    Sep 16, 2018 01:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani sambamba na kutetea mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, amekiri kwamba, kwa kuzingatia ukiukaji wa ahadi wa Marekani, hakutofanyika mazungumzo yoyote kati ya Iran na Washington.

  • John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    Sep 10, 2018 07:27

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani kwa mara nyingine tena amekosoa misimamo ya serikali ya rais wa hivi sasa wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran na kuionya Ikulu ya nchi hiyo White House kuhusu matokeo mabaya ya siasa hizo.

  • John Kerry: Trump anasema uongo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    John Kerry: Trump anasema uongo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 13, 2017 07:35

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry ameukosoa vikali msimamo hasi ambao unatazamiwa kutangazwa na rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na nchi zinazounda kundi la 5+1.

  • Mazungumzo ya Zarif na Kerry; shaka juu ya mwenendo wa Marekani

    Mazungumzo ya Zarif na Kerry; shaka juu ya mwenendo wa Marekani

    Apr 24, 2016 06:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amesema nchi hiyo haitaziwekea vizuizi benki au mashirika ya kigeni yasifanye biashara na mashirika ya Iran ambayo hayakabilwi tena na vikwazo.

  • Zarif na Kerry wajadili njia za kuhakikisha utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia

    Zarif na Kerry wajadili njia za kuhakikisha utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia

    Apr 20, 2016 03:39

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wamekutana na kuzungumzia njia za kuhakikisha makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Jamhuri ya Kiislamu na madola sita makubwa duniani yanatekelezwa kama ilivyoafikiwa.

  • US: Kerry hatawaomba msahamaha Wajapan kutokana na mauaji ya Hiroshima

    US: Kerry hatawaomba msahamaha Wajapan kutokana na mauaji ya Hiroshima

    Apr 11, 2016 07:23

    Marekani imesema Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hataliomba msamaha taifa la Japan kutokana na mauaji ya maelfu ya watu wa Hiroshima yaliyofanywa na ndege za Marekani mwaka 1945.

  • Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Apr 09, 2016 16:07

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje ya wa Marekani John Kerry kutafakari kabla ya kutamka maneneo ya “kipuuzi” kuhusu masuala ya kijeshi na kiulinzi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS