-
Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia
Jul 18, 2023 05:19John Kerry, mwanadiplomasia mkongwe na mwakilishi maalum wa Marekani katika masuala ya tabianchi aliwasili China Jumapili.
-
John Kerry wa Marekani akosolewa kwa kupuuza mabadiliko ya tabianchi Afrika
Sep 19, 2022 10:59Wanaharakati wa hali ya hewa safi kutoka nchi za Afrika zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara, wamemkosoa vikali mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya tabianchi John Kerry kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu kusaidiwa bara la Afrika kukabiliana na athari mbaya za uchafuzi wa hewa.
-
Mike Pompeo: John Kerry anafanya juhudi kubwa za kuidhoofisha serikali ya Trump
Sep 20, 2018 15:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo sambamba na kumkosoa vikali waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo, John Kerry, kwa mara nyingine amesema kuwa, Kerry anafanya njama kubwa zenye lengo la kuidhoofisha serikali ya Rais Donald Trump.
-
John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA
Sep 16, 2018 01:12Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani sambamba na kutetea mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, amekiri kwamba, kwa kuzingatia ukiukaji wa ahadi wa Marekani, hakutofanyika mazungumzo yoyote kati ya Iran na Washington.
-
John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran
Sep 10, 2018 07:27Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani kwa mara nyingine tena amekosoa misimamo ya serikali ya rais wa hivi sasa wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran na kuionya Ikulu ya nchi hiyo White House kuhusu matokeo mabaya ya siasa hizo.
-
John Kerry: Trump anasema uongo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Oct 13, 2017 07:35Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry ameukosoa vikali msimamo hasi ambao unatazamiwa kutangazwa na rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na nchi zinazounda kundi la 5+1.
-
Mazungumzo ya Zarif na Kerry; shaka juu ya mwenendo wa Marekani
Apr 24, 2016 06:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amesema nchi hiyo haitaziwekea vizuizi benki au mashirika ya kigeni yasifanye biashara na mashirika ya Iran ambayo hayakabilwi tena na vikwazo.
-
Zarif na Kerry wajadili njia za kuhakikisha utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia
Apr 20, 2016 03:39Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wamekutana na kuzungumzia njia za kuhakikisha makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Jamhuri ya Kiislamu na madola sita makubwa duniani yanatekelezwa kama ilivyoafikiwa.
-
US: Kerry hatawaomba msahamaha Wajapan kutokana na mauaji ya Hiroshima
Apr 11, 2016 07:23Marekani imesema Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hataliomba msamaha taifa la Japan kutokana na mauaji ya maelfu ya watu wa Hiroshima yaliyofanywa na ndege za Marekani mwaka 1945.
-
Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran
Apr 09, 2016 16:07Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje ya wa Marekani John Kerry kutafakari kabla ya kutamka maneneo ya “kipuuzi” kuhusu masuala ya kijeshi na kiulinzi ya Iran.