Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Joseph Kabila

  • Uchaguzi Mkuu DRC katikati ya changamoto za kiusalama na mivutano ya kisiasa

    Uchaguzi Mkuu DRC katikati ya changamoto za kiusalama na mivutano ya kisiasa

    Dec 30, 2018 13:40

    Uchaguzi Mkuu wa Rais na Bunge wa Jamhuri ya Kidemokrsia ya Kongo umefanyika leo Jumapili Disemba 30, 2018 huku mvua kali ikinyesha. Uchaguzi huo umefanyika chini ya changamoto nyingi za kiusalama na kisiasa.

  • Uchaguzi wa rais ulioakhirishwa kwa muda mrefu waanza Kongo

    Uchaguzi wa rais ulioakhirishwa kwa muda mrefu waanza Kongo

    Dec 30, 2018 08:06

    Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kong leo Jumapili wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa rais ulioakhirishwa kwa muda mrefu nchini humo. Uchaguzi huo wa leo huwenda ukawa wa kwanza wa kukabidhiana madaraka kwa njia ya kidemokrasia katika nchi hiyo iliyokumbwa na machafuko.

  • EU kuwarejeshea vikwazo maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    EU kuwarejeshea vikwazo maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Oct 31, 2018 15:51

    Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarejeshea vikwazo maafisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo akiwemo mgombea wa kiti cha urais Emmanuel Ramazani Shadary ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.

  • Mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa waungaji mkono wa serikali wafanyika DRC

    Mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa waungaji mkono wa serikali wafanyika DRC

    Oct 28, 2018 16:07

    Makumi ya maelfu ya wafuasi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshiriki kwenye mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa muungano wa vyama tawala ili kusikiliza hotuba za mgombea wao katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.

  • Rais Kabila amteua mkuu mpya wa majeshi anayekabiliwa na vikwazo vya US na EU

    Rais Kabila amteua mkuu mpya wa majeshi anayekabiliwa na vikwazo vya US na EU

    Jul 16, 2018 03:25

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemteua mkuu mpya wa vikosi vya ulinzi ambaye amewekewa vikwazo vya kimataifa kwa kosa la kuwakandamiza vikali raia na kukiuka haki za binadamu nchini humo.

  • Kabila afuta gwaride la maadhimisho ya uhuru DRC kutokana na uasi jeshini

    Kabila afuta gwaride la maadhimisho ya uhuru DRC kutokana na uasi jeshini

    Jul 01, 2018 01:44

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alifuta gwaride la jeshi katika maadhimisho ya mwaka wa 58 wa uhuru kutokana na kuwepo tetesi za uasi jeshini.

  • Bunge la DRC kujadili sheria ya kuwalinda marais wa zamani

    Bunge la DRC kujadili sheria ya kuwalinda marais wa zamani

    Jun 17, 2018 07:12

    Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo litakutana katika kikao maalumu, kufuatia ombi la Rais Joseph Kabila, kwa lengo la kujadili sheria ya kuwapa kinga ya kisheria marais wa zamani wa nchi hiyo.

  • Waasi washambulia nyumba ya Rais Kabila, waua askari mmoja Congo DR

    Waasi washambulia nyumba ya Rais Kabila, waua askari mmoja Congo DR

    Mar 30, 2018 04:11

    Waasi wa kundi la Mai Mai wameshambulia nyumba ya Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo karibu na mji wa Beni huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na kuua askari mmoja.

  • Botswana yamtaka Kabila Ang'atuke madarakani Congo

    Botswana yamtaka Kabila Ang'atuke madarakani Congo

    Feb 27, 2018 06:42

    Botswana imemtaka Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ang'atuke madarakani.

  • Rais wa DRC akanusha kufanywa ukatili dhidi ya waandamanaji, abaki kimya kuhusu tarehe ya uchaguzi

    Rais wa DRC akanusha kufanywa ukatili dhidi ya waandamanaji, abaki kimya kuhusu tarehe ya uchaguzi

    Jan 27, 2018 16:55

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amekanusha madai kuwa askari usalama wa serikali yake walitumia nguvu na ukandamizaji kuzima maandamano ya kupigania demokrasia yaliyochochewa na uamuzi wake wa kung'ang'ania kubaki madarakani baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS