Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Joseph Kabila

  • Kabila:  Congo DR inaelekea kwenye uchaguzi wa wazi na wa amani

    Kabila: Congo DR inaelekea kwenye uchaguzi wa wazi na wa amani

    Sep 23, 2017 15:59

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa nchi hiyo inaelekea kwenye uchaguzi wa kuaminika, wa wazi na wa amani.

  • Rais Kabila wa DRC na familia yake wana utajiri wa mamilioni ya dola

    Rais Kabila wa DRC na familia yake wana utajiri wa mamilioni ya dola

    Jul 20, 2017 14:14

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na familia yake wanamiliki hisa katika mashirika 80 nchini humo na maeneo mengine ya dunia na utajiri wake unakadiriwa kuwa makumi ya mamilioni ya dola.

  • Waziri wa Afya: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo haina tena Ebola

    Waziri wa Afya: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo haina tena Ebola

    Jul 02, 2017 04:32

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza rasmi kumalizika kwa maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.

  • Hali tete Kinshasa, Kabila akosa kuhutubia, gwaride la kijeshi lafutwa, wafungwa watoroka

    Hali tete Kinshasa, Kabila akosa kuhutubia, gwaride la kijeshi lafutwa, wafungwa watoroka

    Jun 30, 2017 14:23

    Hali inaripotiwa kuwa tete huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya Rais Kabila kukosa kutoa hotuba yake ya kila mwaka kabla ya leo Juni 30 ambayo ni siku ya uhuru wa nchi hiyo.

  • Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Makundi ya kisiasa Kongo yafikia muafaka wa kuhitimisha mgogoro nchini humo

    Dec 31, 2016 13:01

    Imetangazwa kuwa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo atang'atuka madarakani kabla ya kufanyika uchaguzi ujao hiyo ikiwa ni baada ya kufikiwa muafaka wa kisiasa kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Wapinzani DRC wasema mazungumzo yanalegalega

    Wapinzani DRC wasema mazungumzo yanalegalega

    Dec 30, 2016 16:07

    Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema mazungumzo ya namna Rais Joseph Kabila atakavyoondoka madarakani yanalegalega na yamkini yakasambaratika.

  • Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa DRC yanaendelea

    Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa DRC yanaendelea

    Dec 24, 2016 15:11

    Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameendelea huku wapinzani wakiendelea kushikilia msimamo wao wa kuondoka madarakani Rais Joseph Kabila.

  • Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Hali ya kulegalega kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Dec 21, 2016 13:22

    Sambamba na kumalizika muhula wa kisheria wa uongozi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mji mkuu Kinshasa na miji mingine ya nchi hiyo imeshuhudia taswira ya kuimarisha usalama karibu katika kila kona.

  • Kambi ya upinzani Congo yawataka wananchi kupinga utawala wa Kabila

    Kambi ya upinzani Congo yawataka wananchi kupinga utawala wa Kabila

    Dec 20, 2016 14:58

    Kambi kuu ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewataka wananchi kutomtambua tena Joseph Kabila kama rais wa nchi hiyo na imewahimiza kuonesha upinzani wao dhidi ya Kabila kwa njia ya amani.

  • AI: Serikali ya Congo inawakandamiza wapinzani

    AI: Serikali ya Congo inawakandamiza wapinzani

    Sep 15, 2016 16:31

    Shirika la Msamahama Duniani (Amnesty International) limewatuhumu viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa wanawakandamiza wapinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS