-
Makamu wa zamani wa rais wa Kenya awashangaza watu mahakamani
Aug 29, 2018 10:45Makamu wa zamani wa rais wa Kenya, Kalonzo Musyoka, leo amewashangaza Wakenya baada ya kuonekana mahakamani alikokwenda kushiriki katika utetezi wa Naibu Jaji Mkuu, Philomena Mwilu.
-
Balozi: Kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Kenya kinaweza kufikia dola milioni 500
Aug 22, 2018 09:58Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema: kiwango cha mabadilishano ya kibiashara kati ya Tehran na Nairobi kinaweza kuongezeka na kufikia dola milioni 500.
-
Kenya yaimarisha usalama wa wanaoendesha vita dhidi ya mafisadi
Aug 19, 2018 02:51Serikali ya Kenya imemarisha usalama wa waendesha mashtaka, makachero na mashahidi wanaohusika katika kampeni mpya rasmi ya vita dhidi ya mafisadi nchini humo.
-
SAUTI, UN yamtaja Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kuwa kiongozi pekee barani Afrika anayepambana na ufisadi
Aug 14, 2018 11:46Umoja wa Mataifa umempongeza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kutokana na juhudi kubwa za kupambana na ufisadi anazozitekeleza nchini humo.
-
Kiwango cha usafirishaji bidhaa za Iran Kenya chaongezeka
Aug 12, 2018 01:58Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema kiwango cha bidhaa za Iran zinazosafirishwa kupelekwa nchini humo kimeongezeka.
-
Maafisa wawili wa ngazi za juu Kenya watiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi
Aug 11, 2018 09:51Kenya imewatia nguvuni maafisa wawili wa ngazi za juu kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali ya umma.
-
Bunge la Kenya lapinga wito wa kuwachunguza mawaziri wawili kuhusu sakata la sukari
Aug 10, 2018 12:49Wabunge wa Kenya wamepinga ripoti ya kamati mbili za Bunge zilizotaka kuchunguzwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo na mwenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu namna walivyoshughulikia suala la uingizaji sukari nchini.
-
SAUTI, Serikali ya Kenya yachukua hatua kali kukilinda kisiwa cha Mombasa kisitoweke
Aug 03, 2018 03:29Serikali ya Kenya imeweka mikakati madhubuti kuhakikisha kisiwa cha Mombasa kinasalia kuwa kisiwa.
-
SAUTI, Waislamu nchini Kenya wapinga uteuzi wa mabalozi Wakristo kupelekwa maeneo matukufu
Jul 29, 2018 12:15Waislamu nchini Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo kuwa makini katika kuzingatia maeneo anayowatuma mabalozi wake duniani.
-
9 waaga dunia katika ajali iliyotokea katika barabara ya Nairobi-Mombasa, Kenya
Jul 04, 2018 03:10Watu tisa wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea mapema leo katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa nchini Kenya.